Hiyo ngao aliitoa wapi maana kabla ya kushambuliwa hakua nayoNadhan hii muvi haina uongo kivlee icpokuwa Ni ufundi tu pia umesema baadhi ya matukio ya kwny Ile ambyo Ni ya uongo ukiweza Rudi Tena kaiangalie Ile muvi then uje tujadili,
Mfno Yule rubani alishambuliwa kwa risasi b4 ndege kuanguka.
Wakati Sisu amenyongwa aligeza ule ubao ikainama then akajichoma na nondo iliyokuwa kwny mbao ili apate balansi ya mwili asife.
Farasi kulipuka then yy asife ilitegemea na uwezo wa bomu husika.
Halikuwa bakuli la bati alilo jikinga nalo Ni Kama mfano wa ngao ngumu.
Asante.
Net naijaNimejaribu kuitafuta telegram sijaipata na omba link ya ku-download
Hahahaa... kwa uongo hawajambo.Sani deo yule aliipigia scania teke ikazunguka manyinya zake sani deo..babaake zarimenda alimpiga jamaa kofi la utosi akazama ardhini..
Wahindi ndo mana mkifa mnachomwa moto
Itafute ni nzuri sanaView attachment 2639181View attachment 2639181review positive zipo zakutosha, inaonekana nzuri tu japo sijaiona
Ha ha haaa na inawezekana ukawa Bado hujaielewa maana inaisha kama inaanza tena![emoji81][emoji81]hii movie hadi nme irudia mala ya 3
1998 ndiyo mwaka wa mwisho kuangalia muvi za kihindi...[emoji847]TOKA NIONE STERINGI ANAMPIGA ADUI KAMA MPIRA WA DANADANA NA KUMTULIZA KIFUANI NIKAZIMA TV TOKA HAPO SIANGALII ZA KIHINDI
Haiifikii movie inayoitwa Mothers day. Mtu anapigwa ngumi inamrusha juu kichalichali mpaka viatu vyote vinamvuka vizuri akiwa hewani utadhani amechomolewa hivyo viatu!wakuu kuna movie mpya inatamba kwasasa inaitwa sisu. Ni movie nzuri ila ina uongo wa kushato wazee.
Kwanza mzee sisu anazuia risasi kwa bakuli la bati sijui, anazama ndani ya maji na kuvuta pumzi ya maiti bila kufa. Ananyongwa na wanajeshi wa nazi usiku kucha lakini asubuhi bado ni mzima.
Farasi aliyembeba mzee sisu anakanyaga bomu na kulipuka huku farasi akisambaratika vipande mia 3 lakini mzee sisu ni mzima wa afya🤣
Mwishoni mzee sisu akiwa ndani ya ile ndege ya maadui, ndege inadondoka rubani anafariki lakini mzee sisu anatoka akiwa mzima na kuelekea kwa sonara kuuza dhahabu yake🤣🤣 yaani hajavunjika hata nywele.
Hivi kuna movie kwasasa inaizidi hii kwa uongo?
Ipo netnaijaimeshaachiwa kwenye sinema muda si mrefu tutaipata kwenye torrent
I like youNimeirudia mara 3..nimeipenda. Sisu ndo wale wenye roho saba hata makovu aliyonayo yanaonesha ameshaenda kuzimu na kurudi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ngoja nimalizie John Wick chapter 4 nimrudie mshua Sisu.
Ukitaka uonyeshwe kila kitu movie itakua na zaidi ya masaa sita....Hiyo ngao aliitoa wapi maana kabla ya kushambuliwa hakua nayo
Dah hapo walizingua kumbuka hakujipanga na tukio la hivo coz ni dakika chache akitoka kunusurika kifo cha bomuUkitaka uonyeshwe kila kitu movie itakua na zaidi ya masaa sita....
kama umeangalia kwa makini,kuna wakati Mzee sisu alikua anachimba zak mashimo ya dhahabu lakini akawa anasikia sauti za risasi na mabomu yakilipuka...zile sauti za mabomu maana yake ni wanajeshi waliokuwa wanalipuka kwenye mapigano na ndo uko uko ndo kulikua na mine field
Aya nakurejesha tena,wakati Sisu anapishana na ule msafara,jamaa alitaka kumshoot lakini akakatazwa na kuambiwa kwamba haina haja maana uelekeo anaoenda Sisu ni kama anajipeleka mwenyewe kwenye kifo,maana yake ule msafara ulishatoka uko kufanya maanagmizi na kuwaua watu wote kwenye ayo mapigano, Conclusion ni kwamba yawezekana ile ngao mzee Sisu aliipata kwenye mabaki ya wale watu waliouliwa na ule msafara
Au ulitaka mpaka wakuonyeshe jinsi anavyoiokota iyo ngao ?[emoji28]