Sita wasomewa mashtaka ya mauaji ya Milembe Seleman aliyekuwa Afisa wa GGM, akiwemo aliyekuwa "mkewe"

Sita wasomewa mashtaka ya mauaji ya Milembe Seleman aliyekuwa Afisa wa GGM, akiwemo aliyekuwa "mkewe"

Unajua maana ya Uovu lakini?
Nimekuuliza swali jepesi, shoga au msagaji wakiwa ndani kwao wanafanya mapenzi yao wewe unadhurika na nini? Au sauti zao zinakulowesha? [emoji38]
Moral wrong itaendelea kubaki hivyo hivyo atakama inafanyika sirini
 
Sasa mbona polisi inashindwa kuwakamata waliompiga Lissu risasi mchana kweupe ndani ya majengo ya serikali yanayolindwa na polisi?
Ukiona hivyo wanaotarajiwa kuwasaka wauaji ndiyo wahusika wenyewe!
Watajipelelezaje?
Katika shambulizi lile Serikali ndiyo Mtuhumiwa Mkuu. Ndiyo maana ilikataa kuunda Tume Huru au kuitwa Wachunguzi wa Kimataifa. Haitachukua wiki moja kukamilisha uchunguzi endapo Polisi ya Kimataifa au Tume Huru itahusishwa katika uchunguzi.
Zoezi lilitekelezwa kizembe likiacha vielelezo kibao visivyofutika.
 
Back
Top Bottom