Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,287
- 6,648
Ndugu unaefurahia kifo cha binadamu mwenzako, nikuulize tu. Je wewe utaishi milele?Comment yangu kuhusu LEMUTUZ kupasuka tumbo na kuoza IMEFUTWA.
Lemutuz anaoza muda huu chini ya kifusi cha tani mia saba [emoji851][emoji1787][emoji1787]
Jeuri yote kwishneiii, alizidi uropokaji sana yule LE MTUMBOZ.
Kifo chake kimenikosha sana. [emoji851]