Sita wasomewa mashtaka ya mauaji ya Milembe Seleman aliyekuwa Afisa wa GGM, akiwemo aliyekuwa "mkewe"

Sita wasomewa mashtaka ya mauaji ya Milembe Seleman aliyekuwa Afisa wa GGM, akiwemo aliyekuwa "mkewe"

Wewe una utakatifu upi? nani anakuhukumu?

Haram ni kwa Mtu na Mungu wake wewe huna mamlaka ya kupekechua yasiyokuhusu wakati huwezi kuumba hata sisimizi.
Sio kuhukumu bali ndo ukweli ndo hakuna sehemu niliposema mim ni mtakatifu

Kama wewe nguvu kubwa unazozitumia kupinga wauaji uzitumie pia kupinga usagaji na ushoga sababu hayo yote ni matendo maovu
 
Waje na humu jf kuna walioshangilia kweli ukute ni ndugu wa hiyo familia hapo juu wakidhani mkono wa serikali ni mfupi,

Natamani Lemutuz angekua hai aone hao wauaji aliokua anawashangilia kwa kumuua msagaji wanavyopigwa mvua ya maisha,

Na hii iwe fundisho kwa wajinga wote hakuna aliye juu ya sheria, ukikoswa na sheria ya Dunia basi Mungu mwenyewe atakuadhibu kwa kujipa majukumu yasiyokua yako (ref, kwa Lemutuz hakuchukua hata mwezi)

Hongera jeshi letu la polisi, hongera serikali ya Mama Samia, naona hata humu nyuzi za Ushoga zimeisha kabisa watu wameufyata kama Mbwa kaona Chatu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndyoooooooi!!!!!!!!!
Ongezaaaa sautiiiiiii
 
Na GGM hii kesi wataisimamia ipasavyo. Wanaamini kwa haki za binadamu na ndiyo maana kwenye tangazo la kifo walitumia pronoun "He" na siyo "She".
Na badoooo wotee waliohusika wataenda jela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna form zinauliza
1.male
2.female
3.others[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nadhani hapa kwenye others ndio pakujitambulisha Wewe ni nani
Others nipoo hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wauaji, wasagaji na mashoga wote ni chukizo kwa Mungu na jamii kwa ujumla, tutakua wanafki tukiwapinga wauaji alafu tukija kwa wasagaji na mashoga tuseme kila mtu afuate yake
Haram ni haramu tu
Sasa huo uuaji aufanye Mungu mwenyewe, sio binadamu aue mwingne, khaaah.
 
Comment yangu kuhusu LEMUTUZ kupasuka tumbo na kuoza IMEFUTWA.

Lemutuz anaoza muda huu chini ya kifusi cha tani mia saba [emoji851][emoji1787][emoji1787]

Jeuri yote kwishneiii, alizidi uropokaji sana yule LE MTUMBOZ.

Kifo chake kimenikosha sana. [emoji851]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila nikifungua thread namuona huyu pimbi, alafu mida yake ni usiku mnene.

Ukweli kabisa naichukia jf sababu ya huyu
 
Kila nikifungua thread namuona huyu pimbi, alafu mida yake ni usiku mnene.

Ukweli kabisa naichukia jf sababu ya huyu
Si utokeee hapa JF, kwani lazima uwepo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nick bhana, stress za mambo yako ya kifamilia unaniletea mie??

Wee deal na ustawi wa jamii upate haki yako ya fidia, poleeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani wewe umeng'oa mshale wa sekunde.[emoji28][emoji28][emoji28]
Huwa mnapata faida gani kumu-entertain huyu mjinga? Wewe ni mwanamke, unajiskia vipi hiki anachofanya angekua anafanya mtoto wako wa kumzaa?
 
Sio kuhukumu bali ndo ukweli ndo hakuna sehemu niliposema mim ni mtakatifu

Kama wewe nguvu kubwa unazozitumia kupinga wauaji uzitumie pia kupinga usagaji na ushoga sababu hayo yote ni matendo maovu
Kuua utafananisha na ushoga na usagaji, shoga akiwa anakata viuno na mpenzi wake ndani kwake wewe wadhurika na nini?

Mtaani kwako kukiwa na muuaji anaua watu kila apatapo nafasi utakua na amani?
 
Kawatetee watuhumiwaa huko, si ndo ulikua kidedea kuwa wamefanya kazi nzuri??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kawatolee hata dhamanaa jaman, uwiiiiih
Kanywea kama kibamia kilichopigwa na baridi kali ya Makambako [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Comment yangu kuhusu LEMUTUZ kupasuka tumbo na kuoza IMEFUTWA.

Lemutuz anaoza muda huu chini ya kifusi cha tani mia saba [emoji851][emoji1787][emoji1787]

Jeuri yote kwishneiii, alizidi uropokaji sana yule LE MTUMBOZ.

Kifo chake kimenikosha sana. [emoji851]
Mods wameiondoa kukulinda na Wajane wake wa humu wangekushukia kwa migazeti na mapovu ya Omo tangu aliyekua anawapost ili kuwaunganisha kwa madanga afe soko lao limedoda basi wana hasira haoooooo,

Mie pia ni mmoja wa waliofurahi sitaki kua mnafki kwa kweli, [emoji3][emoji3][emoji23]
 
Back
Top Bottom