NaughtyGuy
JF-Expert Member
- Nov 10, 2017
- 1,747
- 1,939
Kuna shida wapi?Date of joining JF : 6th October, 2018
7th October, 2018 unataka mume
Una shida na mke soma hapa - JamiiForums
Kweli mkuu nimekusomaKuna shida wapi?
Kila mmoja aliingia JF kwa lengo lake,
Yeye ameingia akiwa na objective hiyo!
Kuna mahusiano gani ya ufupi na upendo?Watu hawajui tu Wanaume wafupi jamani wanaupendo kama wote sema tu ile kuongozana Ndo inakuwaga shida
Atakuwa nayoChura ipo?
AuntieKuna mahusiano gani ya ufupi na upendo?
Uwiiiiii!!! Kwanza nina mnuno wako matataaaa, alafu hata sijakumissππAuntie
Hahaha hahaha hahaha hahahaUwiiiiii!!! Kwanza nina mnuno wako matataaaa, alafu hata sijakumiss[emoji143][emoji143]
Kwa title tu uliyoandika inaonesha unajisikia sana na huyo mume mtarajiwa ajiandae kusumbuka maana ugomvi kidogo tu ataambiwa "kwanza nilishaweka wazi sitafuti mume...."Ni mwanamke ambae naweza kuishi na familia yangu, najipenda na kujiheshimu,mapenzi yangu makubwa ni kwa mwanaume anae jiheshimu na kujitambua yeye kama mwanaume
Kama una sifa sahii za kuitwa mwanaume unakalibishwa
Umri kuanzia miaka 30 ----40
Dini yoyote
Awe na akili ya kutafuta
Mcha mungu
Mrefu
Pia awe ana chembe za biashara
Awe na upendo na familia yake
Asiwe mweupe
Sikuitaji kuandika vigezo ila nimeambiwa niandike
Karibu inbox
Dada umeshapata mume?Asantee
Ila kumbuka mke anatoka kwao na tabia zake na mume anapaswa kushape tabia yake iwe kwenye mwelekeo fulaniKwa title tu uliyoandika inaonesha unajisikia sana na huyo mume mtarajiwa ajiandae kusumbuka maana ugomvi kidogo tu ataambiwa "kwanza nilishaweka wazi sitafuti mume...."