SHOOyaKIBABE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,181
- 1,714
Kila la kheriWanaume wa jf hakuna mabachera ngoja nikatoe furusa kwengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila la kheriWanaume wa jf hakuna mabachera ngoja nikatoe furusa kwengine.
Kila kitu walau nimefit isipokuwa urefu.Nipo wastani si mrefu.Sasa sijui ninafaa?Ni mwanamke ambae naweza kuishi na familia yangu, najipenda na kujiheshimu,mapenzi yangu makubwa ni kwa mwanaume anae jiheshimu na kujitambua yeye kama mwanaume
Kama una sifa sahii za kuitwa mwanaume unakalibishwa
Umri kuanzia miaka 30 ----40
Dini yoyote
Awe na akili ya kutafuta
Mcha mungu
Mrefu
Pia awe ana chembe za biashara
Awe na upendo na familia yake
Asiwe mweupe
Sikuitaji kuandika vigezo ila nimeambiwa niandike
Karibu inbox
Watu wanapigwa dochi kila siku na kutemwa..Wanaume wa jf hakuna mabachera ngoja nikatoe furusa kwengine.
Njoo PM tuyajenge kama uko seriousWanaume wa jf hakuna mabachera ngoja nikatoe furusa kwengine.
Mkuu tuko pamoja kama lote kwa hiyo itelYaani una siku nane tu tangu uingie kwenye familia ya jamiiforums halafu unataka kutusumbuaView attachment 897760
wewe sio fursa bali unatafuta fursa, kama hawajakupenda wanaokuona nani akupende hadi atamani akuoe na hakuoni?Wanaume wa jf hakuna mabachera ngoja nikatoe furusa kwengine.
We mmeru una hasira sanaMbona mie bachelor nipo.Na natafuta mke sn wa kuanza naye maisha.Sema ninyi KE mpo selective sn
Ahahahaah Mmeru mixer MasaiWe mmeru una hasira sana
Muulize dau la hiyo hasira niinueWe mmeru una hasira sana
Weee apo ndo hapakaliki mixer wa hvyo anakuua ukimletea ujingaAhahahaah Mmeru mixer Masai
Nafurah kukuona tena ukiranda randa humuMuulize dau la hiyo hasira niinue
Nafurah kukuona tena ukiranda randa humu
Mku
Mkuu tuko pamoja kama lote kwa hiyo itel
Weee apo ndo hapakaliki mixer wa hvyo anakuua ukimletea ujinga
Vipi mimi muhayaWe mmeru una hasira sana
Watu tupo sema nyie wazinguajiWanaume wa jf hakuna mabachera ngoja nikatoe furusa kwengine.