Sitaki hangaika na wanawake wa huku Duniani. Wale wa kule ni Wazuri na wote naanza nao mwenyewe

So unataka nianze hangaika na hawa wa huku duniani? Hawa wanazingua sana...sitaki kabisa. Watu kama akina trudie mi sitaki shida tena aisee....wacha nijitunze tu
Ungetuma kwanza matumizi ya mtoto wala nisingehangaika na wewe. Sasa hivi msimu wa maembe unauza pale sokoni tenga 3 zinaisha unashindwa nini kulea mwanao??
Sitakuacha kwamwe ukutane na hao mabikra 60 utakomaa na mie hapa....you are stuck with me duniani na huko
 
Imani nyingine za ajabu ajabu kweli! Unahitaji kuwa na akili ya drs la 2 kuelewa mafundisho yao. Sasa kama wewe mwanaume ukienda huko peponi utazawadiwa mabikra 60, kumbe mtaenda huko na miili yenu ili muendeleze ngono huko? Na vipi kuhusu wanawake walioishi uadilifu duniani, huko peponi wenyewe wanazawadiwa nini?
 
Daaah imeandikwa "Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa".Shetani tuachilie Vijana tuwe huru maana tumepewa macho lakini hatuoni.Watu wanapenda kuskiliza mafundisho ya uongo.
 
Du umelizika na uongo wa matarajio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tusimkejeli yeyote kwa wazo lake Sema tumuelimishe ili aachane na huo upuzi wa kuwaza mambo hayo ndugu ukibahatika hakuna kuoa wala kuolewa hahhahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uje ukute unafika wewe ni bwabwa na unapewa pisi 60 zote unaungana nazo kupaka lips shine na wanja mkuu
 
You must be confused. Hawa wakushinde, ndio utawaweza 70?πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nasikia wanaruhusiwa kupitiwa na wanaume bikra pia
 
Mwanaume wa kuishi na wewe ni bora tu afe tena kwa kuchomwa moto kabisa...au kukaanga au kubanikwa kama ndafu akiwa hai. Wacha tu aende akapate mabikra huko akhera.
 
Wanaume 60 kwa kila mmoja.
 
Mwanaume wa kuishi na wewe ni bora tu afe tena kwa kuchomwa moto kabisa...au kukaanga au kubanikwa kama ndafu akiwa hai. Wacha tu aende akapate mabikra huko akhera.
Mbona tumeishi pamoja miaka mingi tuu na hujafa mpaka nilipokukimbia mwenyewe?? Kweli unawaza mabikra 60 kabla ya kuwaza kutuma matumizi ya binti yako??
Nashukuru chizi maarifa mdogo hajachukua akili yako. Leo nakuja kukuwashia moto hapo sokoni kama hutatuma matumizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…