Sitaki hangaika na wanawake wa huku Duniani. Wale wa kule ni Wazuri na wote naanza nao mwenyewe

Sitaki hangaika na wanawake wa huku Duniani. Wale wa kule ni Wazuri na wote naanza nao mwenyewe

Wanaume tumeumbwa kupenda wanawake na wanawake wameumbwa kupenda urembo chukua wanawake 10 waweke kwenye room moja yenye wanaume 70 wenye sifa za kila aina dunia hii upande wa kulia na wa kushoto weka urembo wa kila aina dunia hii kisha mwambie achagua upande anaotaka aumiliki.

Weka kundi la wanawake 70 wenye sifa ya kila aina upande wa kulia na upande wa kushoto weka urembo wa kila aina kisha mwambie mwanaume achague upande anaotaka aumiliki jibu unalo pia chief.

All in all peponi kila mtu atapewa kila atakachotamani .
Kwahiyo wanawake peponi wakitamani mihogo ya jangombe (Tafsida) watapewa kwa mujibu wa allah?????
 
Wanawali 60. Wakali kwa types nitakazo mimi. Tena wote nawakuta bikra...so naanza nao mwenyewe.

Ndo maana nikiwaangalia wanawake siku hizi wanasema nmekuwa na kiburi na dharau. Ni kweli sikatai. Nimepata kuburi baada ya kugundua nahangaika na hawa wa duniani wakati Akhera wapo watoto chuchu sasa sita.

Tena wana mashine mpya kabisa na hawatakuwa wamechafuliwa na maneno ya kebehi ya kuniita kibamia. Hapo natembeza mpododo tu...babaaake...

Maumbo nayotaka mimi na wana toa huduma 24x7. Sasa why nianze hangaika na hawa wa huku duniani. Ukisalimiana naye siku 2 tu aanaanza kutaka pesa. Kule itakuwa bure tu tena napewa nguvu za kutumia wanawake 100. Ila napewa wanawake 60. So reserve kuna nguvu ya wanawake 40.

Natembeza mpododo kuanzia asubuhi mpaka asubuhi. Na kumaliza kwake kule nasikia ile raha yake unaisikia ndani ya dk 30 siyo sekunde kama huku. Hapo unamwaga sperms nusu lita.

Hivi hao wa mbinguni nao watakuwa wanasikia maumivu wakati nitakuwa nawatoa hizo bikra?.
 
Naomba niulize swala hili inachukua mda gani kwa mwanamke mjamzito kusex na mwanaume wake baada ya kujifungua
Siku 40 japo Kwa wenzangu na mimi wenye hamu zao hawafikishi na pia inategemea na mwili Wa mhusika na huduma nzuri aliyopewa baada ya kujifungua
 
Wanawali 60. Wakali kwa types nitakazo mimi. Tena wote nawakuta bikra...so naanza nao mwenyewe.

Ndo maana nikiwaangalia wanawake siku hizi wanasema nmekuwa na kiburi na dharau. Ni kweli sikatai. Nimepata kuburi baada ya kugundua nahangaika na hawa wa duniani wakati Akhera wapo watoto chuchu sasa sita.

Tena wana mashine mpya kabisa na hawatakuwa wamechafuliwa na maneno ya kebehi ya kuniita kibamia. Hapo natembeza mpododo tu...babaaake...

Maumbo nayotaka mimi na wana toa huduma 24x7. Sasa why nianze hangaika na hawa wa huku duniani. Ukisalimiana naye siku 2 tu aanaanza kutaka pesa. Kule itakuwa bure tu tena napewa nguvu za kutumia wanawake 100. Ila napewa wanawake 60. So reserve kuna nguvu ya wanawake 40.

Natembeza mpododo kuanzia asubuhi mpaka asubuhi. Na kumaliza kwake kule nasikia ile raha yake unaisikia ndani ya dk 30 siyo sekunde kama huku. Hapo unamwaga sperms nusu lita.
Afu utakula na kulala saa ngapi, kama 24/7 utakuwa unakwichi kwichi
 
Wanawali 60. Wakali kwa types nitakazo mimi. Tena wote nawakuta bikra...so naanza nao mwenyewe.

Ndo maana nikiwaangalia wanawake siku hizi wanasema nmekuwa na kiburi na dharau. Ni kweli sikatai. Nimepata kuburi baada ya kugundua nahangaika na hawa wa duniani wakati Akhera wapo watoto chuchu sasa sita.

Tena wana mashine mpya kabisa na hawatakuwa wamechafuliwa na maneno ya kebehi ya kuniita kibamia. Hapo natembeza mpododo tu...babaaake...

Maumbo nayotaka mimi na wana toa huduma 24x7. Sasa why nianze hangaika na hawa wa huku duniani. Ukisalimiana naye siku 2 tu aanaanza kutaka pesa. Kule itakuwa bure tu tena napewa nguvu za kutumia wanawake 100. Ila napewa wanawake 60. So reserve kuna nguvu ya wanawake 40.

Natembeza mpododo kuanzia asubuhi mpaka asubuhi. Na kumaliza kwake kule nasikia ile raha yake unaisikia ndani ya dk 30 siyo sekunde kama huku. Hapo unamwaga sperms nusu lita.
Si mpaka uende huko peponi
 
Ukisoma Bible utaona priorities za mzungu aliyeandika bible ziliko.
Ukisoma Quran tukufu utaona priorities za muarabu aliyeandika Quran tukufu ziliko.

Kupitia Quran tunaona jinsi muarabu anavyopenda chini.
Aliyetunga Quran alijua mbususu ndo kitu pekee ya kudanganyia watu waache maasi kwa ahad watazikuta 60 Firdaus.
Mbususu 60???!!!
Kwa hiyo mbali ya kunyanduana na mbikra 60 kuna kipi kingine cha kufurahisha tutakachofanya peponi?
Na kama mtu ana uwezo wa kuishi na mabikra 60 hapa duniani si tayari anakua keshaiishi pepo?
Hizi din zetu ukitumia ubongo utaishia kuwa mpagan tu.
 
Baada ya siku 40 kama mwili wake umepona na anajisikia yupo comfotable anaruhusiwa kusex. Ila ndio inabidi awe makini maana inakuwaga gusa unate sekunde kubeba mimba nyingine. Miili imetofautiana mwingine anapona haraka mwingine anachelewa so msikilize yeye anajisikiaje.
Asantee sana trudie
 
Wanawake wa duniani nao kama walikua wacha mungu ambao watafaulu kupata pepo basi huko peponi watakua wapya mabikira na watakua wazuri kuliko wanawake wa peponi na kama waume zao nao wamejaaliwa kuipata pepo basi watakutanishwa tena peponi kama mke na mume tena japo mwanaume atakua na wanawake wengine lkn hio haitakua shida kwakua huko ile hali ya dunuani wivu kutokutosheka hamna tena yaani ni raha tupu katika kila kitu...na kama hajaolewa basi atapata mwaume kijana wa peponi na maisha ya raha yataendelea yaani huko ni raha tu unapata kila unachotaka yaani ukiwaza tu kinakuja hamna kuzeeka wote vijana

Allah anajua zaidi

naomba Allah atujaalie tuwe katika hao wataojaaliwa pepo
 
Kwaio unadhani vyote vilivyoumbwa dunia viliumbwa bure ikiwa pamoja n ww yaani mama yako akuzae kwa tabu uje duniani ukute bahari mbingu mvua jua usiku mchana alf uishi unavyotaka ww kwamba hamna anaemiliki hii dunia na wala hamna sheria na ukifa ndio mwisho wa maisha yako inaingia akilini kabisa.....ikiwa binadam tu ambae anamiliki vitu ambavyo ataviacha hawezi kukupa kitu bure bure wala kukuacha uishi kwenye nyumba yake bila mashart mfano umekuta nyumba inafull funiture unaweza kuingia ukaishi tu unavyotaka uvuruge uchafue alf uondoke unaweza kufanya ivyo bila kujikuta kwenye kesi ...

Huo ndio mfano wa dunia my friend angalia mbingu na ardhi na vilivyomo avijaumbwa bure hata huo mwili ulionao nao unatii amri ndio mana huwezi kuzuia haja au unavyoumwa upo kwenye ibada sasa ww jidanganye na nafsi yako kwamba binadam anauwezo wakuishi atakavyo hahhahhaa my dear hapa duniani tutalipia kila tulichofanya kama kizuri au kibaya kuna malaika wanaandika sisi atuwaoni wanatuhesabia na baada ya kufa ndio maisha ya milele yanaendelea na matendo yako ndio yatayokupeleka motoni milele au peponi milele ...usijidanganye my friend ikiwa duniani tu hapa kuna hukumu ya kua jela au kunyongwa alf useme hivi vilivyodunia avijikutocost ishi ukijua kila unalofafanya baya au zuri malipo yake yapo hapa dunian na kesho akhera na mmliki wa hii dunia ameshatuma sheria zake na ameshatahadharisha kuna kiumbe cha motoni kinataka kuingia na nyinyi motoni kwaio katika maisha yetu tunatakiwa tuishi tukijua kuna maisha baada ya haya ...safari bado ndefu sana my friend kazaaaaaaaa mtii alikuumba ukaishi maisha mazuri ya milele.
 
Back
Top Bottom