Sitaki hangaika na wanawake wa huku Duniani. Wale wa kule ni Wazuri na wote naanza nao mwenyewe

Sitaki hangaika na wanawake wa huku Duniani. Wale wa kule ni Wazuri na wote naanza nao mwenyewe

Ni mabikra kwa kwenda mbele, na mito inayotiririsha pombe,

Kwaiyo mtu unaoga huku unakunywa pombe, ukijigusa bikra huyu apa.
Sheikh wangu kipozeo alisisitiza hili tembo tena kwa kinywa kipanaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wanawali 60. Wakali kwa types nitakazo mimi. Tena wote nawakuta bikra...so naanza nao mwenyewe.

Ndo maana nikiwaangalia wanawake siku hizi wanasema nmekuwa na kiburi na dharau. Ni kweli sikatai. Nimepata kuburi baada ya kugundua nahangaika na hawa wa duniani wakati Akhera wapo watoto chuchu sasa sita.

Tena wana mashine mpya kabisa na hawatakuwa wamechafuliwa na maneno ya kebehi ya kuniita kibamia. Hapo natembeza mpododo tu...babaaake...

Maumbo nayotaka mimi na wana toa huduma 24x7. Sasa why nianze hangaika na hawa wa huku duniani. Ukisalimiana naye siku 2 tu aanaanza kutaka pesa. Kule itakuwa bure tu tena napewa nguvu za kutumia wanawake 100. Ila napewa wanawake 60. So reserve kuna nguvu ya wanawake 40.

Natembeza mpododo kuanzia asubuhi mpaka asubuhi. Na kumaliza kwake kule nasikia ile raha yake unaisikia ndani ya dk 30 siyo sekunde kama huku. Hapo unamwaga sperms nusu lita.
Loh
Serikali idhibiti inflation.

Hali hii inawakumba wengi kutokana na sonona
 
Luka 20:34-36.
Yesu akawaambia, Wana wa ulimwengu huu huoa na kuolewa; lakini, wale wahesabiwao kuwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na kule kufufuka katika wafu, hawaoi wala hawaolewi; wala hawawezi kufa tena; kwa sababu huwa sawasawa na malaika, nao ni wana wa Mungu, kwa vile walivyo wana wa ufufuo.
 
Naomba niulize swala hili inachukua mda gani kwa mwanamke mjamzito kusex na mwanaume wake baada ya kujifungua
 
Japo ni mzaha ila Kuna hoja ndani yake, Kuhusiana na maandiko ya dini ya kiislamu.

Katika kitabu hicho "wameahidiwa wanaume wote watakaoiona pepo basi watapewa zawadi ya mabikra 60" pamoja na nguvu za kiume.

Mimi najiuliza vipi Kuhusiana na wanawake ??🤔🤔, nao watapewa wanaume mabikra??, Au wataumbwa tena ili kutimiza maandishi.??
Wanaume tumeumbwa kupenda wanawake na wanawake wameumbwa kupenda urembo chukua wanawake 10 waweke kwenye room moja yenye wanaume 70 wenye sifa za kila aina dunia hii upande wa kulia na wa kushoto weka urembo wa kila aina dunia hii kisha mwambie achagua upande anaotaka aumiliki.

Weka kundi la wanawake 70 wenye sifa ya kila aina upande wa kulia na upande wa kushoto weka urembo wa kila aina kisha mwambie mwanaume achague upande anaotaka aumiliki jibu unalo pia chief.

All in all peponi kila mtu atapewa kila atakachotamani .
 
Naomba niulize swala hili inachukua mda gani kwa mwanamke mjamzito kusex na mwanaume wake baada ya kujifungua
nenda hospitali iliyoko karibu nawe ukapate ushauri wa kiafya hilo tatizo ni kubwa sana ndugu yetu
 
Naomba niulize swala hili inachukua mda gani kwa mwanamke mjamzito kusex na mwanaume wake baada ya kujifungua
Baada ya siku 40 kama mwili wake umepona na anajisikia yupo comfotable anaruhusiwa kusex. Ila ndio inabidi awe makini maana inakuwaga gusa unate sekunde kubeba mimba nyingine. Miili imetofautiana mwingine anapona haraka mwingine anachelewa so msikilize yeye anajisikiaje.
 
Mbona tumeishi pamoja miaka mingi tuu na hujafa mpaka nilipokukimbia mwenyewe?? Kweli unawaza mabikra 60 kabla ya kuwaza kutuma matumizi ya binti yako??
Nashukuru chizi maarifa mdogo hajachukua akili yako. Leo nakuja kukuwashia moto hapo sokoni kama hutatuma matumizi
Lakini si ulisema haujawahi kukutana na Chizi Maarifa, kumbe mlishapelekeana hadi moto??

Ila nawashauri mmalize tofauti zenu, ili mumlee chizi Maarifa mdogo trudie
 
Lakini si ulisema haujawahi kukutana na Chizi Maarifa, kumbe mlishapelekeana hadi moto??

Ila nawashauri mmalize tofauti zenu, ili mumlee chizi Maarifa mdogo trudie
Simfahamu mkuu, ila naona anapenda sana kunichokoza instead of kukasirika nimeona bora niungane nae tuu ajisikie raha. Maana wanasema chizi akikuibia nguo usimkimbize uchi utaonekana ww ndio chizi bora uchutame.
Kama hapa alitaka nianze kupanick tujibizane ila nimemjulia naenda nae sambamba.
 
Simfahamu mkuu, ila naona anapenda sana kunichokoza instead of kukasirika nimeona bora niungane nae tuu ajisikie raha. Maana wanasema chizi akikuibia nguo usimkimbize uchi utaonekana ww ndio chizi bora uchutame.
Kama hapa alitaka nianze kupanick tujibizane ila nimemjulia naenda nae sambamba.
Umenifurahisha Sana, Kuna msemo niliambiwa "cheza ndanj ya mfumo" hutojutia
 
Ungetuma kwanza matumizi ya mtoto wala nisingehangaika na wewe. Sasa hivi msimu wa maembe unauza pale sokoni tenga 3 zinaisha unashindwa nini kulea mwanao??
Sitakuacha kwamwe ukutane na hao mabikra 60 utakomaa na mie hapa....you are stuck with me duniani na huko

[emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanawali 60. Wakali kwa types nitakazo mimi. Tena wote nawakuta bikra...so naanza nao mwenyewe.

Ndo maana nikiwaangalia wanawake siku hizi wanasema nmekuwa na kiburi na dharau. Ni kweli sikatai. Nimepata kuburi baada ya kugundua nahangaika na hawa wa duniani wakati Akhera wapo watoto chuchu sasa sita.

Tena wana mashine mpya kabisa na hawatakuwa wamechafuliwa na maneno ya kebehi ya kuniita kibamia. Hapo natembeza mpododo tu...babaaake...

Maumbo nayotaka mimi na wana toa huduma 24x7. Sasa why nianze hangaika na hawa wa huku duniani. Ukisalimiana naye siku 2 tu aanaanza kutaka pesa. Kule itakuwa bure tu tena napewa nguvu za kutumia wanawake 100. Ila napewa wanawake 60. So reserve kuna nguvu ya wanawake 40.

Natembeza mpododo kuanzia asubuhi mpaka asubuhi. Na kumaliza kwake kule nasikia ile raha yake unaisikia ndani ya dk 30 siyo sekunde kama huku. Hapo unamwaga sperms nusu lita.
Kaka unataka ugomvi na watu 🤣🤣🤣🤣😂😂Kwahiyo Mungu anakupa wanawake 60 ufanye nao mapenzi style zote???????Sasa swali na wanawake watapewa wanaume 60 au???
 
Back
Top Bottom