Sitaki kuzini: Sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumwambia unioe

Sitaki kuzini: Sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumwambia unioe

Pole...

Ila msiwe mnakamatwa na wachungaji au kuogopa kwenda kanisani eti ni tatizo.

Kanisa/ibada ya mtu ni yeye binafsi..ukishaweza kuepuka madhambi ya kidunia na kujiombea mwenyewe nina imani hautaweza kuwa na imani na mtu.

amani ya Kristo ikutawale.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Habari za mida hii ndugu zangu
Nmekuja nipate ushauri maana naona kila ninalotaka kuliweka mezani napangua.

Nimekuwa na mahusiano na kijana mmoja kama miezi miwili hivi au mitatu. Alinikuta sina mtu na tukaanzisha uhusiano (Huyu mtu ananijua na tunajuana maana tumetoka sehemu moja na tumesoma wote primary na alikuwa ananipenda toka primary na baadae huku ukubwani, ila imetokea tumedate mwaka huu.

Mimi ninasali na mwenzangu sio kiivo japo hajawahi kunipa changamoto za mimi kumtafuta Mungu. Nilipoanza nae mahusiano ghafla nkaona kama narudi nyuma kiroho (nimepitia mengi mpaka kujiconnect zaid na Mungu na ndio ilikuwa pona yangu)

Nilirudi nyuma kiroho nikawa namiss mambo mengi ya kanisani japo hakuwahi nizuia. Niseme tu nilirudi nyuma na vita nilivyokuwa napitia mwanzo vilirudi kwa kasi. Nikamuomba anipe space maana nilishindwa kubalance Mungu na mapenzi(alikuja moto maana kunipata aliona kama nini sijui).

Tukaaa week akaniomba kuwa nimpe nafasi atajitaidi kuweka chachu ya mimi kusali, nikarudi tena. Ikaenda nikawa napitia mambo mengi kiroho na kila siku kanisani naombewa na nikaambiwa mlango unaowapa nafasi Adui ni Uzinzi. Nikaletewa ndoto kuhusu uzinzi unavonilostisha(wanaojua mambo ya kiroho wanaelewa) nikaamua kusikiliza na kuacha uzinzi.

Nilichojia hapa ni kuwa niongee vipi na mwenzangu aelewe kuwa sipo tayari kuzini, maana mtu asiyesali ataona kama nachekesha. Asiwaze namuacha kwa sababu nyingine ila sina sababu zaidi ya hiyo.

Ningeweza kusema labda aamue kama ananioa au vipi ila katika story sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumforce wala kumwambia unioe lakini sitaki kuzini. Naombeni ushauri niongee nae vipi.

Ukiona huna ushauri pita tu,Kuna watu wajuaji sana HUMU.
Na ukimpa ujue ndoa ndio kwishnei
 
Na kama umeamua kuacha acha kabisa na ufunge milango yote unayoweza kuikaribisha hiyo dhambi ndani yako..

Lakini pia usiogope ikitokea umeteleza Mungu wetu ni wa Rehema ukitubu anasamehe, usiogope mchungaji akikwambia Mungu amekukasirikia
Sawa mkuu,Mungu ni mwingi wa rehema,hata ivo amenisamehe sana,sikustaili kupiganiwa nae.
 
Pole...

Ila msiwe mnakamatwa na wachungaji au kuogopa kwenda kanisani eti ni tatizo.

Kanisa/ibada ya mtu ni yeye binafsi..ukishaweza kuepuka madhambi ya kidunia na kujiombea mwenyewe nina imani hautaweza kuwa na imani na mtu.

amani ya Kristo ikutawale.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Amen.
 
Unapoomba ushauri kwenye social media expect kila aina ya reply. Kwahiyo usiwatishe watu wakati mwenye shida ni wewe. Huu ndiyo ushauri wangu.

Acha uzinzi. Mwambie mfunge ndoa ndiyo mfanye sex (marital sex). Kama hataki achana naye. Pia, acha uzinzi kabisa la sivyo huwezi kumwomba Mungu wakati huohuo uko kwenye uzinzi. Naomba pia nikuulize kitu. Kwani huko makanisani lazima mtu fulani akuombee?Kwani hamuwezi kujiombea wenyewe?Au Mungu wenu anasikia tu endapo utaombewa na mdhambi mwenzio?All the best
Bila kuombewa na nabii na mtume mwenyewe (tena kwa kulipishwa pesa) hutoboi yaani [emoji16][emoji16][emoji16]

Ukristo unapita katika kipindi kigumu sana!
 
Na nyie wa kanisani muwage na msimamo siyo sitaki nataka....utaishia kubeba mimba
 
Habari za mida hii ndugu zangu
Nmekuja nipate ushauri maana naona kila ninalotaka kuliweka mezani napangua.

Nimekuwa na mahusiano na kijana mmoja kama miezi miwili hivi au mitatu. Alinikuta sina mtu na tukaanzisha uhusiano (Huyu mtu ananijua na tunajuana maana tumetoka sehemu moja na tumesoma wote primary na alikuwa ananipenda toka primary na baadae huku ukubwani, ila imetokea tumedate mwaka huu.

Mimi ninasali na mwenzangu sio kiivo japo hajawahi kunipa changamoto za mimi kumtafuta Mungu. Nilipoanza nae mahusiano ghafla nkaona kama narudi nyuma kiroho (nimepitia mengi mpaka kujiconnect zaid na Mungu na ndio ilikuwa pona yangu)

Nilirudi nyuma kiroho nikawa namiss mambo mengi ya kanisani japo hakuwahi nizuia. Niseme tu nilirudi nyuma na vita nilivyokuwa napitia mwanzo vilirudi kwa kasi. Nikamuomba anipe space maana nilishindwa kubalance Mungu na mapenzi(alikuja moto maana kunipata aliona kama nini sijui).

Tukaaa week akaniomba kuwa nimpe nafasi atajitaidi kuweka chachu ya mimi kusali, nikarudi tena. Ikaenda nikawa napitia mambo mengi kiroho na kila siku kanisani naombewa na nikaambiwa mlango unaowapa nafasi Adui ni Uzinzi. Nikaletewa ndoto kuhusu uzinzi unavonilostisha(wanaojua mambo ya kiroho wanaelewa) nikaamua kusikiliza na kuacha uzinzi.

Nilichojia hapa ni kuwa niongee vipi na mwenzangu aelewe kuwa sipo tayari kuzini, maana mtu asiyesali ataona kama nachekesha. Asiwaze namuacha kwa sababu nyingine ila sina sababu zaidi ya hiyo.

Ningeweza kusema labda aamue kama ananioa au vipi ila katika story sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumforce wala kumwambia unioe lakini sitaki kuzini. Naombeni ushauri niongee nae vipi.

Ukiona huna ushauri pita tu,Kuna watu wajuaji sana HUMU.
Walokole mna tabia ya kumakinikia sana dhambi ya uzinzi utafikiri ndiyo dhambi pekee iliyopo. Hata ukiacha uzinzi, hizo dhambi nyingine huzitendi? Unazishika amri zote 10 za Mungu sawasawa au umekazania tu hii ya uzinzi kwa vile umeambiwa ndiyo lango ambalo shetani anataka kuingilia.

Yote kwa yote maamuzi yako ni mema na kama kweli umeamua kuwa celibate na kuacha madhambi yote mengine utaishi kwa amani sana na mambo yako yatanyooka mno. Na Mungu Atakuletea mtu atakayekuelewa msinyanduane mpaka baada ya ndoa japo ni kubahatisha sana!
 
uzinzi haunaga ulokole, ndio mana hata kama umeokoka huwezi lala chumba kimoja na asiye mkeo.

hapo utakuwa anashona shati na kuchana

amua moja - shona shati lako tulia
 
Habari za mida hii ndugu zangu
Nmekuja nipate ushauri maana naona kila ninalotaka kuliweka mezani napangua.

Nimekuwa na mahusiano na kijana mmoja kama miezi miwili hivi au mitatu. Alinikuta sina mtu na tukaanzisha uhusiano (Huyu mtu ananijua na tunajuana maana tumetoka sehemu moja na tumesoma wote primary na alikuwa ananipenda toka primary na baadae huku ukubwani, ila imetokea tumedate mwaka huu.

Mimi ninasali na mwenzangu sio kiivo japo hajawahi kunipa changamoto za mimi kumtafuta Mungu. Nilipoanza nae mahusiano ghafla nkaona kama narudi nyuma kiroho (nimepitia mengi mpaka kujiconnect zaid na Mungu na ndio ilikuwa pona yangu)

Nilirudi nyuma kiroho nikawa namiss mambo mengi ya kanisani japo hakuwahi nizuia. Niseme tu nilirudi nyuma na vita nilivyokuwa napitia mwanzo vilirudi kwa kasi. Nikamuomba anipe space maana nilishindwa kubalance Mungu na mapenzi(alikuja moto maana kunipata aliona kama nini sijui).

Tukaaa week akaniomba kuwa nimpe nafasi atajitaidi kuweka chachu ya mimi kusali, nikarudi tena. Ikaenda nikawa napitia mambo mengi kiroho na kila siku kanisani naombewa na nikaambiwa mlango unaowapa nafasi Adui ni Uzinzi. Nikaletewa ndoto kuhusu uzinzi unavonilostisha(wanaojua mambo ya kiroho wanaelewa) nikaamua kusikiliza na kuacha uzinzi.

Nilichojia hapa ni kuwa niongee vipi na mwenzangu aelewe kuwa sipo tayari kuzini, maana mtu asiyesali ataona kama nachekesha. Asiwaze namuacha kwa sababu nyingine ila sina sababu zaidi ya hiyo.

Ningeweza kusema labda aamue kama ananioa au vipi ila katika story sijawahi kuona kama ana dalili za kuoa na sitaki kumforce wala kumwambia unioe lakini sitaki kuzini. Naombeni ushauri niongee nae vipi.

Ukiona huna ushauri pita tu,Kuna watu wajuaji sana HUMU.
Yan kwenye kuzini utesekage wew tuu....?dunia nzima watu wanazin na maisha yanaendelea..wengne wanazin waziwaz.nje nje..diamond anazini kila kukicha na mambo mazur tu...hebu toka kwenye kifungo hicho....huyo mchungaj anaekupa maneno hayo siajab nae ni mzinifu...gwaj boy had video anazo...

Enewei..usichkulie serious ndugu..nademka tu
 
Back
Top Bottom