kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,965
unataka kupaa uende wapi jamanimkuu samahani kabla hujaacha hebu nifundishe na mimi kupaa.
af kuna muda nikimkumbuka tu mtu nakuwa kama ninamwita ama anipigie simu ama aje anitembelee dk chache mbelen
hali hii imenifanya kila nikitaka kumuona mtu basi nasema akilin mwangu funan anipigie kweli atapiga
nimewaza hii ni aina gani ya supernatural power nikaamua kwenda kuisoma ndipo nilipogundua ni aina mojawapo ambayo ina deal zaid na utoaji wa amri zisizo na mashaka ndani yake na kinachofanya yatekelezeke ni ile imani kwamba nisemapo hivyo huwa sina kubadilika ama kuwaza zaid ya kuona litatendeka tuuu.
kuna nguvu kubwa sana katika kuamini jambo bila kuwepo na hata chembe ya shaka na huu ndio ufungua mkubwa sana kwenye kupata mengine unayotaka kupata.
majuzi nilijisemea nimechoka kufanya kazi ninapofanya nataka nibadili taasisi. i just sat down and say it inside me bila wasiwasi kabisa. next day i was called kwenye meeting nikakutana na watu tofauti tukaongea nikasema nataka nibadili kazi huwez amini niliambiwa njoo kwetu mtu wa aina yako ameondoka so kuna vacant position. nilienda bila hata interview nikapewa nafasi.
hivi toka mwez huu wa 3 niko kwenye kazi taasisi tofauti. kisa hiki kinanifanya nione kwamba imani ndio ufunguo w ahaya yote. na ukiwa na imani tayari unafungua hata usivyoweza kudhani. mie kila nilitakalo huwa naliona kwa positive mind tu since nigundue hayo na ile positivity ina ni drive kwenye good ends always
unataka kupaa uende wapi jamani
unataka kwenda mbinguni kwa kupaaAsee nina shida hasa
ningekua na uwezo hata usingizi nisingeutaka sipendi kulala yaani kuwa out of my mind napenda kuwa na akili zangu timamu wakati wote
sipendi mauza uza napenda kujielewa kila mara
nakushangaa mtoa mada mpaka ukajifunza kupaa UMEPATA FAIDA GANI ZAIDI YA KUJITIA UCHIZI
na mpwa wangu mshana jr ukishaweza kupotea alafu?
kama ni njia ya kuongeza kipato bila kumdhuru mtu sawa,ila kujitia uchizi na kujitoa ufahamu ni tatizo
EMBU FATILIA MWISHO WAKE UKOJE je ni mzuri au mbaya
unataka kwenda mbinguni kwa kupaa
unataka kwenda wapi sasaSio mbinguni
ningekua na uwezo hata usingizi nisingeutaka sipendi kulala yaani kuwa out of my mind napenda kuwa na akili zangu timamu wakati wote
sipendi mauza uza napenda kujielewa kila mara
nakushangaa mtoa mada mpaka ukajifunza kupaa UMEPATA FAIDA GANI ZAIDI YA KUJITIA UCHIZI
na mpwa wangu mshana jr ukishaweza kupotea alafu?
kama ni njia ya kuongeza kipato bila kumdhuru mtu sawa,ila kujitia uchizi na kujitoa ufahamu ni tatizo
EMBU FATILIA MWISHO WAKE UKOJE je ni mzuri au mbaya
unataka kwenda wapi sasa
Mpwangu wala usijali hizi nguvu ni faida tupu takufundisha basics
Utafuatiliaje bila kuujua mchezo?!!
unataka kupaa tuu poa safari njema.Nina shida na kupaa mkuu
unataka kupaa tuu poa safari njema.
awaulize waliofanya huo mchezo madhara yake na faida zake kabla hajajitosa