Kimsingi mama ntilie wa bongo wachafu sana..vyakula vyao ukila huwezi maliza wiki hujaendesha..
Wanatia kinyaa sana..hasa wale wa vyakula vya buku jero buku 2.
Daah..shida hata uelewa wa usafi na usalama wa chakula hawana.
Unakuta beseni la kuoshea kaoshea vyombo toka asbuha hadi jioni habadilishi maji.
Sponji la kuoshea vyombo hilo hilo anafutia meza na viti baada ya wateja kula.
Maji ya kunywa wanakinga ya bombani au kisimani hawachemshi.
Hata kama ni umasikini hawa watu wawe controlled wanaumiza wengi sana kwa huduma zao mbovu.
*n.b.:wengi wana misambwanda hatari na ni vipezo vya wateja wao wanauza chakula na wanaliwa sana pia.
Sent using
Jamii Forums mobile app