Sitakula kwa mama nitilie labda nione nataka kufa na hakuna namna nyingine

Sitakula kwa mama nitilie labda nione nataka kufa na hakuna namna nyingine

Zile ndoo za maji asilimia kubwa huwa ni za chooni au usiku huwa zinawekwa chumbani kwa ajili ya kukojolea maana si unajua wanawake hawatokagi nje au kuchuchumaa chooni muda wa usiku hata kama choo kipo chumbani.
Dah aisee nimesikia kichefu chefu hapa nusu nitapike.
 
yule mama ambae anakanda unga wa maandazi kwa miguu??!!afu ana magamba unga ukinatia kwenye magamba anautoa na tuthpik...

huku jasho likimtiririka analitoa analimwagia kwenye unga..

au kupikia maji ya monchwar
Dah basi baba tumekoma. Tutakula kwenye migahawa. Khaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushirikina na uchafu ndio mwake.

Halafu wabishiii hawataki kupokea maelekezo na kuwa tayari kujifunza na kubadilika.

Ukijaribu kutaka kuwaelekeza hawataki.

Tena watakuona unaringa.
 
Very high risk kula nje na nyumbani.

Labda kwa restaurants chache zile rasmi zenye usimamizi wa Professionals tu basi mara moja moja maana Chakula chao kinakuwa na gharama kubwa kuweza kununua kila siku yaweza kuwa vigumu .
 
Mtu anaamka asubuhi hata kuoga haogi Eti anaanza Kazi ya kuandaa Chakula watu wale ? [emoji15][emoji15]

Hawako tayari kujifunza na kubadilika kufanya kwa usafi na ubora zaidi.
 
Back
Top Bottom