ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA