Ni binadamu mwenye roho mbaya sana,hajali wananchi wake,
Hatumtaki tena kwani kama ametutendea mabaya mengi miaka 5 iliyopita itakuaje kama akipewa nafasi nyingine?
Ndugu watanzania wenzangu,magufuli si mtanzania kiasili hivyo amebeba roho ya mauaji na ni ngumu kiuiacha maana ameaha irithi.
Mpaka sasa mmeona jinsi watu wanavyouliwa Pemba na unguja na wala hashituki,tumkatae,kama huyu shetani akiendelea tutaumia sana,namwita shetani sababu ana roho ya kishetani.
Kama kweli MUNGU anatupenda atuepushe na magufuli Kwa njia yoyote kabla ya matokeo ya uchaguzi,.
Amebomolea watu makazi akaua
Ameharibu biashara za watanzania akaua
Ameteka watu na kupoteza ameua
Amepandikiza chuki ktk utanzania wetu,zamani ccm na upinzani tuliheahimia bila hata kufikiria kuuana ameua.
Tumkatae Kwa kauli ya kutompa kura kama ambavyo MUNGU ameelekeza utaratibu wa kupiga kula,tumkataeni magufuli.
Mlio na mengi ongezeeni hapo ili watu wajue uovu wake,tumkataeni magufuli Kwa sauti Moja kwamba hatumtaki maana ana roho ya kiuaji,si mtanzania kiasili,ni mkimbizi aliyrkimbilia Tanzania.
Kwanza tunawalaumu Usalama wa taifa Kwa kutomjua kuwa si mtanzania na walipaswa asipate nafasi yoyote ya uongozi,
Tumkataeni magufuli na roho yake mbaya.
Sees.