Ubongo Kid, pole, hizi ni hasira tuu, na hauko peke yako, kids wote huwa na tabia kama hizi za kususa.
Kufikia 2020, mabarabara ya juu kwa juu, reli ya umeme SGR, ndege za ATC zinajivinjari dunia nzima, Tanzania ya viwanda, nchi ya uchumi wa kati, pesa kedekede, hasira zitakwisha hivyo utabadilika tuu na ndio nyinyi mtakaongoza maandamano kubadili katiba, ukomo wa miaka 10 uondolewe ili Magufuli aendelee.
Ila pia kufuatia kazi nzuri inauoendelea, tumeshauri 2020 kusiwe na uchaguzi wa rais kwasababu hakuna haja.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? - JamiiForums
P