Uchaguzi 2020 Sitamchagua Magufuli na wala Sitapiga kura kwa CCM mwaka 2020

Uchaguzi 2020 Sitamchagua Magufuli na wala Sitapiga kura kwa CCM mwaka 2020

Ubongo Kid, pole, hizi ni hasira tuu, na hauko peke yako, kids wote huwa na tabia kama hizi za kususa.

Kufikia 2020, mabarabara ya juu kwa juu, reli ya umeme SGR, ndege za ATC zinajivinjari dunia nzima, Tanzania ya viwanda, nchi ya uchumi wa kati, pesa kedekede, hasira zitakwisha hivyo utabadilika tuu na ndio nyinyi mtakaongoza maandamano kubadili katiba, ukomo wa miaka 10 uondolewe ili Magufuli aendelee.

Ila pia kufuatia kazi nzuri inauoendelea, tumeshauri 2020 kusiwe na uchaguzi wa rais kwasababu hakuna haja.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? - JamiiForums
P
Hayo mabarabara ya juu sie wakazi wa Bunda tunaoambiwa tulichagua upinzani yanatusaidia kitu gani mkuu?
 
Maendeleo ni pamoja na mitandao ya kijamii,waambie sasa leo watufungulie WhatsApp Twitter, FB, Instagram,YouTube na play store
Mitandao ya kijamii ipo wazi tu; ila kutumia mitandao kueneza umbea tunaweza kuzuia kwa muda huu ambao tension ya nchi iko juu. Watu wanatumia mitandao kutangaza uwongo mwingi sana ambao unaweza kuharibu amani ya nci, kwa mfano mara mamlaka ya anga imezuia helikopta yetu, mara nimepigwa na wanaume watatu wakanikanyaga kanyaga na kunitengua miguu, mara ooh nimezuiwa KIA makusudi ili kunichelewesha. Hiyo tabia ya kueneza uwongo kwenye jamii ni lazima iwe controllede kwa wakati huu.

Angalau kwa Marekani wao wakigundua mtu anaenzea uwongo wanafuta post yake, kwa mfano wamekuwa wanafuta post nyingi za Trump, lakini hapa kwentu hawafany hivyo, kwa hiyo nchi inaweza kuzipinguza kwa kubada sehemu ya bandwidth, ingawa haizuii kabisa kwani wenye VPN wanaweza kupita tu.
 
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care

Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,


Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.

OVA
Na yakwangu ndio haipati ng'oooo
 
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care

Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,


Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.

OVA
Kwa hiyo unakuja hapa kutuambia ili itusadie nini sisi.
Yaani nini hasa malengo ya uzi wako.
 
Hakuna mt kawahi kumchagua huyo Magufuli. 2015 waliba kwasababu Lowasa alikuwa wakala wao.

Sasa hivi ni chuma. Huko anaandika report kufugua kesi za majizi ccm.
 
Haki yako inaishia kwenye kupanga mstari na kuandika alama ya tick kwenye makaratasi ya kula, ila nani awe mshindi tume na vyombo vya dola ndio vinaamua.

IMG_8417.jpg

Nishamchagua Magufuli na mbunge wa CCM tayari. Cha ajabu Wakala wa chadema hapa nilipopigia kura mimi yéyé sio mpiga kura hakujiandikisha. Naapa mbele ya Mungu , sasa mtashindaje? Au mtashinda kwa matusi mitandaoni?
Fatilieni mtaona.
Bora na hii jamii forum Izimwe kwa muda . Tufanye kazi moja kwanza.
 
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care

Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,


Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.

OVA
Endelea kukereka mkuu, WE ALSO DONT CARE how deep umekereka....
 
View attachment 1614253
Nishamchagua Magufuli na mbunge wa CCM tayari. Cha ajabu Wakala wa chadema hapa nilipopigia kura mimi yéyé sio mpiga kura hakujiandikisha. Naapa mbele ya Mungu , sasa mtashindaje? Au mtashinda kwa matusi mitandaoni?
Fatilieni mtaona.
Bora na hii jamii forum Izimwe kwa muda . Tufanye kazi moja kwanza.
Familia yangu, ndugu, jamaa na marafiki na huko wa kijijini wote na mtaani kwangu tumeshahamasishana, tunaenda chinja muda si mrefu.
 
Back
Top Bottom