sheiza
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 7,640
- 11,680
Angekaa na mumewe chumbani wayamalize huko huko..sio kutuletea jamvini ugomvi wao wa unyumba.Haya ulipaswa umwandikie mumeo. N uamuzi wenu, HAUTUHUSU!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekaa na mumewe chumbani wayamalize huko huko..sio kutuletea jamvini ugomvi wao wa unyumba.Haya ulipaswa umwandikie mumeo. N uamuzi wenu, HAUTUHUSU!
Mtatusaidia sana kutupunguzia foleni kwenye vituo vya kupigia kura.2020 mimi na familia yangu hatutapiga kura.
We hupati??? Au ndo mnafaidi mema ya nchi !!!!!"Utapata tabu sana"
Hata 2015 hajachaguliwa ila figisu tu za Lubuva tu na hana mpango wa kumchagua atapita kama alivyopita mwanzo,ndio maana anafanya mambo hovyo hovyo akimaanisha hata usimpompigia anaingia ikulu,fukuza vyeti feki,hakuna nyongeza ya mshahara wala nini,life mtaani gumu kwa wapiga kura lakni ana uhakika anaingia madarkani kwa mgongo wa NEC/Policcm na usalama wa SISIEMU.Najua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA
Nitapiga kuraNa wew mkashauriane na mmeo polepole mbinu za kuiba kula
malofa utayajua tu,yanawazia genocideManeno ya shombo kama haya 1994 yalipelekea Genocide kule Rwanda sasa endelea kupanua hilo domo lakini maharage yakichacha tutakula wote
Mkuu Kichuri, kwani wapiga kura wa Tanzania huwa wanaangalia impact?.Hayo yote uliyotaja yameleta impact gani kwa watanzania
wagonjwa wa akili ni wengi sana! I recommend psychotherapy!Najua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA
Mimi ccm ila kura yangu ni siri..!Najua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA
KabisaMtatusaidia sana kutupunguzia foleni kwenye vituo vya kupigia kura.