"Utapata tabu sana"Najua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA
Haya ulipaswa umwandikie mumeo. N uamuzi wenu, HAUTUHUSU!Najua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA
Lini ulimchagua wewe asshole!Najua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA
Mnatuita watanzania malofa.tutaona sasaRais Magufuli hahitaji kura za malofa ili kuwa rais
2020 mimi na familia yangu hatutapiga kura.Hata kama utamchagua mtu mwingine tofauti na Magufuli kura yako itabadilika ndani ya sanduku la kura na Kuwa ya Magufuli.
Na wew mkashauriane na mmeo polepole mbinu za kuiba kulaHaya ulipaswa umwandikie mumeo. N uamuzi wenu, HAUTUHUSU!