Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Kura yako haitabadilisha kitu, pole sana tena sana.Najua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA
P nafikiri kifungu cha 37 cha katiba kitakuwa kinakuhusu na weweUbongo Kid, pole, hizi ni hasira tuu, na hauko peke yako, kids wote huwa na tabia kama hizi za kususa.
Kufikia 2020, mabarabara ya juu kwa juu, reli ya umeme SGR, ndege za ATC zinajivinjari dunia nzima, Tanzania ya viwanda, nchi ya uchumi wa kati, pesa kedekede, hasira zitakwisha hivyo utabadilika tuu na ndio nyinyi mtakaongoza maandamano kubadili katiba, ukomo wa miaka 10 uondolewe ili Magufuli aendelee.
Ila pia kufuatia kazi nzuri inauoendelea, tumeshauri 2020 kusiwe na uchaguzi wa rais kwasababu hakuna haja.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? - JamiiForums
P
Dah.... mbona uamuzi wa kawaida Sana huo...sioni jambo la ajabu...kwani hata wakati wa kupiga kura unakuwa uko peke yako.....kabla ya kuvuta uwe unakula bro[emoji41]Najua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA
Kutopiga kura maana yake ni moja tu. Kwamba wewe na familia yako mnakubaliana na anayellazimisha ashinde hata kama hapendwi.2020 mimi na familia yangu hatutapiga kura.
Maan ya asshole ni nini vile?kimalikia kimetupitia mbali!!Lini ulimchagua wewe asshole!
Sasa kura zenyewe za kuiba wewe kupiga kura au kutopiga haina adhari yeyoteNajua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA
Nimeshakata shauri kura sitapiga otherwise tume ya uchaguzi iwe huru.Kutopiga kura maana yake ni moja tu. Kwamba wewe na familia yako mnakubaliana na anayellazimisha ashinde hata kama hapendwi.
Ni bora kupiga kura, ili hata ikiibiwa hao wezi watumie nguvu kidogo katika kazi hiyo ya wizi na kulazimisha wabaki hata kama hawapendwi.
Na wewe pamoja na familia yako hamtajilaumu kwa yatakayotokea baada ya uchaguzi huo. Siku zote majuto ni mjukuu. Natumaini utanielewa kwa kutumia msemo huo.
Ubongo Kid, pole, hizi ni hasira tuu, na hauko peke yako, kids wote huwa na tabia kama hizi za kususa.
Kufikia 2020, mabarabara ya juu kwa juu, reli ya umeme SGR, ndege za ATC zinajivinjari dunia nzima, Tanzania ya viwanda, nchi ya uchumi wa kati, pesa kedekede, hasira zitakwisha hivyo utabadilika tuu na ndio nyinyi mtakaongoza maandamano kubadili katiba, ukomo wa miaka 10 uondolewe ili Magufuli aendelee.
Ila pia kufuatia kazi nzuri inauoendelea, tumeshauri 2020 kusiwe na uchaguzi wa rais kwasababu hakuna haja.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? - JamiiForums
P
Eh soldier nyakua nyakua watahakikisha na kulinda ushindi was kishindo Kama ZanzibarKura yako haitabadilisha kitu, pole sana tena sana.
Aidha ubongokid au moja wa wazazi wake wapo Temesa au kwenye bodi ya ushauri ya Temesa.Ubongo Kid, pole, hizi ni hasira tuu, na hauko peke yako, kids wote huwa na tabia kama hizi za kususa.
Kufikia 2020, mabarabara ya juu kwa juu, reli ya umeme SGR, ndege za ATC zinajivinjari dunia nzima, Tanzania ya viwanda, nchi ya uchumi wa kati, pesa kedekede, hasira zitakwisha hivyo utabadilika tuu na ndio nyinyi mtakaongoza maandamano kubadili katiba, ukomo wa miaka 10 uondolewe ili Magufuli aendelee.
Ila pia kufuatia kazi nzuri inauoendelea, tumeshauri 2020 kusiwe na uchaguzi wa rais kwasababu hakuna haja.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? - JamiiForums
P
Government haina shida na hata uchague uaichague hata ukifa ni kama kuzika mbwa tu.Najua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA
Maneno ya shombo kama haya 1994 yalipelekea Genocide kule Rwanda sasa endelea kupanua hilo domo lakini maharage yakichacha tutakula woteRais Magufuli hahitaji kura za malofa ili kuwa rais
Hayo yote uliyotaja yameleta impact gani kwa watanzania zaidi ya kulipia mikopo na riba ya hiyo miundombinu?Mwaka wa tatu hivyo viwanda na middle class earner umeona hata dalili.....viwanda vya kwenye majukwaa!. Pascal ule wito wa Dodoma umekufanya utumie kalamu yako kama wanavyotaka hongera....,Ubongo Kid, pole, hizi ni hasira tuu, na hauko peke yako, kids wote huwa na tabia kama hizi za kususa.
Kufikia 2020, mabarabara ya juu kwa juu, reli ya umeme SGR, ndege za ATC zinajivinjari dunia nzima, Tanzania ya viwanda, nchi ya uchumi wa kati, pesa kedekede, hasira zitakwisha hivyo utabadilika tuu na ndio nyinyi mtakaongoza maandamano kubadili katiba, ukomo wa miaka 10 uondolewe ili Magufuli aendelee.
Ila pia kufuatia kazi nzuri inauoendelea, tumeshauri 2020 kusiwe na uchaguzi wa rais kwasababu hakuna haja.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020? - JamiiForums
P