LAPTOP2016
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 728
- 2,140
Haki yako inaishia kwenye kupanga mstari na kuandika alama ya tick kwenye makaratasi ya kula, ila nani awe mshindi tume na vyombo vya dola ndio vinaamua.Nitamchagua Magu ingawa ameniudhi kwa mambo matatu,
1- kuminya upinzani.
2- kukaribisha wapinzani ccm kisha kuwafanya ndio wagombea wa ccm.
3- kumkumbatia Bashite.
siyo watanzani ni nyie nhumbu wa ufipa tuu, wengine hawahusiki.Mnatuita watanzania malofa.tutaona sasa
Wamesoma sana aloandika Robert Amsterdam na Kigogo na wengine.Yaani kwa utawala wake wa kuonea watu, watu wanaishi maisha magumu halafu yeye kwakua analindwa, anapewa kila kitu kupitia pesa za walipa kodi anaona fahari kwa kutuambia maisha yatakua magumu zaidi. Haoni uchungu na matumizi kwa watanzania aliowaumiza.
Kwa mabavu wameagiza mitandao ya kijamii kufungwa ili watanzania wasipashane habari kujua ghilba wanazozifanya kwenye uchaguzi huu. Kwani mitandao ingeathiri kitu gani kama kuna uhalali katika uchaguzi?
Apende asipende asidhani ni rahisi kuhujumu mamilioni ya kura za watanzania waliowakataa.
Wasitusimsngie madaraja na Mareli yao ambayo hata hayaeleweki ni lini yatamalizika. Wasitutishie bhana taifa ni letu huru
Usivunjike moyo wewe chagua kutokana na moyo wako ukielewa kwamba Magufuli anapambana na Tundu Lissu, Lissu ni tofauti sana na wagombea waliowahi kushindana na ccm kabla, ameonyesha uimara wa kukisimamia anachokiamini mabadiliko yanakuja kwa vyovyoteNajua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA
Kila la kheri na safari yako huko uendako; sisi tunasonga mbele. Hapa kazi tu! hamna cha mkatomkato. Waliokosa mkatomkato watalalamika sana mwaka huu; kipenga cha mwisho ni masaa machache kuanzia sasaNajua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA
Tengenezeni box kubwa la kuziweka kura ili aende nazo Ubelgiji; ameshakiri hadharani kuwa atarudi ubelgiji baada ya uchaguzi. Lissu kakaa Ubelgiji akiwa mgonjwa ila aliporudi Tanzania akaja na tabia ya kuonyesha kuwa anajua sana maisha ya nchi za ulaya kuliko wale waliokaa kule zaidi ya miaka kumi wakiwa wanafanya kazi zao. Tabia ya ajabu sana hiyo. Mwanzoni alikuwa anaogopa kurudi Tanzania ila baadaye ndipo akapta ufadhili wa kuja kwa mbwembe ambazo zinafikia tamati. Mbio za sakafuni huwa zina mwisho wakeKura zote kwa Lissu
Point nn sasa?Tengenezeni box kubwa la kuziweka kura ili aende nazo Ubelgiji; ameshakiri hadharani kuwa atarudi ubelgiji baada ya uchaguzi. Lissu kakaa Ubelgiji akiwa mgonjwa ila aliporudi Tanzania akaja na tabia ya kuonyesha kuwa anajua sana maisha ya nchi za ulaya kuliko wale waliokaa kule zaidi ya miaka kumi wakiwa wanafanya kazi zao. Tabia ya ajabu sana hiyo. Mwanzoni alikuwa anaogopa kurudi Tanzania ila baadaye ndipo akapta ufadhili wa kuja kwa mbwembe ambazo zinafikia tamati. Mbio za sakafuni huwa zina mwisho wake
Mkuu utakuwa umetupunguzia msongamano kama hutapiga kura,upige au usipige kura yako ni sawa na kumwaga lori la sukari ziwa VictoriaNajua kuna mtakaobeza kuwa hata nsipomchagua bado yeye atakuwa ndio President I do not care.
Najua kuna mtakaobeza kuwa hata asiposhinda atatangazwa mshindi I do not care
Ninachosema ni kwamba ashinde asishinde,aibe kura asiibe ajue kuwa kati ya kura zote zitakazopigwa ya kwangu haitakuwepo,
Nimemaliza na usiulize kwa nini....We kama unataka kuchangia huu uzi shauri lako.
OVA
Point ni hiyo.Point nn sasa?
Kila la kheri na safari yako huko uendako; sisi tunasonga mbele. Hapa kazi tu! hamna cha mkatomkato. Waliokosa mkatomkato watalalamika sana mwaka huu; kipenga cha mwisho ni masaa machache kuanzia sasa