Duh Mzee Tupatupa, hii ni hatari sana kwa mgombea wetu kwasababu kura yako ndio the determinant vote ya kumfanya JPM arejee Ikulu kwa kushinda urais!.
Kama ingekuwa bila wewe kumpigia kura yako rais Magufuli, then hawezi kushinda urais, hapo tungekubembeleza na lukupigia magoti tuipate kura yako!, JPM ashinde, lakini kwa vile Watanzania wana macho yanaona na masikio wanasikia, wameona na wanasikia, wanajua wanataka nini na ni nani atawapatia wanachotala, hivyo hiyo October, wanajua wachague nini na wanamchagua nani.
Hivyo Mzee Mwenzangu Tupa Tupa, you can as well, just go to ... with your single, tiny, insignificant piece of sand kwenye ufukwe wetu wa mafuriko ya ushindi.
Wish you all the best!.
P