Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,677
Endelea kujidanganyaHakuna sauti ya kumtoa Rais Magufuli mwaka huu , tusidanganywe na sauti za wale 'wapayukaji'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kujidanganyaHakuna sauti ya kumtoa Rais Magufuli mwaka huu , tusidanganywe na sauti za wale 'wapayukaji'
Simpi kura Magufuli....NEVERRRRR!
Wewe kula na kulala kwako kunategemea posts ulizo jibu JF. Haya kachukue Bk 7 zakoWapiga dili mmevumilia mpaka mmeona mtoe povu. Mlizoea kuzichota, sasa hamna mwanya mnatapatapa.
Kura yako hiyo moja haiwezi kumnyima ushindi. Kwanza inaweza kuwa ni kati ya zile zinazoharibika.
P, najua moyoni humpendi JPM.Duh Mzee Tupatupa, hii ni hatari sana kwa mgombea wetu kwasababu kura yako ndio the determinant vote ya kumfanya JPM arejee Ikulu kwa kushinda urais!.
Kama ingekuwa bila wewe kumpigia kura yako rais Magufuli, then hawezi kushinda urais, hapo tungekubembeleza na lukupigia magoti tuipate kura yako!, JPM ashinde, lakini kwa vile Watanzania wana macho yanaona na masikio wanasikia, wameona na wanasikia, wanajua wanataka nini na ni nani atawapatia wanachotala, hivyo hiyo October, wanajua wachague nini na wanamchagua nani.
Hivyo Mzee Mwenzangu Tupa Tupa, you can as well, just go to ... with your single, tiny, insignificant piece of sand kwenye ufukwe wetu wa mafuriko ya ushindi.
Wish you all the best!.
P
Katendwa huyu siyo bure. Wajumbe siyo watu wazuri.Hata wewe ?
Utakuwa mgeni hapa jukwaani kama humjui VUTA-NKUVUTE kada maarufu wa CCM aka mzee Tupatupa wa lumumba.Shida sana kada wa Chadema anapofanya maigizo kama kada wa CCM.
Kura 1 inaweza kukufanya uwe rais au uukose urais.ukilijua hilo basi utamwelewa tupatupaDuh Mzee Tupatupa, hii ni hatari sana kwa mgombea wetu kwasababu kura yako ndio the determinant vote ya kumfanya JPM arejee Ikulu kwa kushinda urais!.
Kama ingekuwa bila wewe kumpigia kura yako rais Magufuli, then hawezi kushinda urais, hapo tungekubembeleza na lukupigia magoti tuipate kura yako!, JPM ashinde, lakini kwa vile Watanzania wana macho yanaona na masikio wanasikia, wameona na wanasikia, wanajua wanataka nini na ni nani atawapatia wanachotala, hivyo hiyo October, wanajua wachague nini na wanamchagua nani.
Hivyo Mzee Mwenzangu Tupa Tupa, you can as well, just go to ... with your single, tiny, insignificant piece of sand kwenye ufukwe wetu wa mafuriko ya ushindi.
Wish you all the best!.
P
Mayala bwanamkubwa alimwambia kwa kikwetu ni njaa.sasa nani amchague mtu mwenye njaa?Hivi we imeshindikanaga kabisa kukumbukwa kwenye teuzi?