Uchaguzi 2020 Sitampa kura yangu Dkt. Magufuli kwa sababu hii 'kubwa'

Uchaguzi 2020 Sitampa kura yangu Dkt. Magufuli kwa sababu hii 'kubwa'

Walivyo waoga wamepunguza hadi vifurushi vya internet! yaani hii nchi inamajitu yaajabu kweli watu sisi vijana tumejiajiri kupitia internet chuki zao zakisiasa wanaumiza raia wasio na hatia! sasa wao bila kujali athari zake wao wanaona niheri kwao waendelee kushiba sisi tutajijua wenyewe. Alafu wakishiba utasikia serikali ya wanyonge inajali wanyonge, wanatusababishia umaskini ili waje watu joke??
 
Sina haja ya kusubiri kampeni zianze ili nishawishike. Sina haja ya kuuficha ukweli huu. Mwaka 2015, nilimsambaratisha Lowassa na kumpigia kura mgombea wa CCM yangu Dr.John P. Magufuli. Baada ya miaka yake mitano madarakani, nimekata shauri kuwa SITAMPIGIA KURA. Kupiga au kutopiga kura kwa mgombea, kwa kila mtanzania, kuna sababu yake. Kwangu mimi kinachonivutia ni kuongoza kikatiba, kisheria, kikanuni na kistaha.

Mimi Mzee Tupatupa, kada mwandamizi wa CCM, SITAMPIGIA KURA Dr. Magufuli pamoja na kuwa ni mgombea wa chama changu. Kitendo chake na kauli zake za KUHODHI FEDHA za Serikali kimenifanya nitafakari na kuamua nilivyoamua. Dr. Magufuli amejipambanua kama 'mmiliki pekee' wa fedha za nchi hii zilizopaswa kusimamiwa na Bunge. Kila apitapo, husema kuwa 'ninawapa/ninawaletea' kiasi fulani za fedha kana kwamba fedha hizo ni zake binafsi.

Kitendo cha kuhodhi hivyo kimezalisha watanzania wanafiki na watu wa kujipendekeza. Utawasikia: 'Rais ametuletea shilingi....... kwa ujenzi wa madarasa; Rais amekubali kutuletea shilingi....kwa ajili ya barabara' na kadhalika. tena utawasikia: 'Rais ametujengea…...', 'Rais amejenga…..'.Hapo Rais anachorwa kama aliyehodhi mfuko wa Hazina na fedha zote za Serikali . Hili si jambo la kuliunga mkono wala la kumpa kura mgombea wa aina hii.

Fedha za nchi zina utaratibu wake wa kukusanywa, kutumika na kukaguliwa. Kuhodhiwa na mtu mmoja si jambo jema wala la kuungwa mkono. Kuwa kiongozi wa Serikali hakutoshi kumfamya mhusika kuhodhi fedha zote za umma. Kwa hilo tu, SITAMPIGIA KURA. Haya ni maamuzi yangu binafsi.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa jijini Dodoma)
Nimekuelewa sana na nimekuwa nikisoma posts zako toka enzi za JK. Wewe ni kweli siku zote na umejipambanua katika Jukwaa la JF kuwa wewe ni CCM damu.

Naamini kama uliye vaa kiatu unalalamika kuwa kinakubana, mimi ni nani nikubishie? Kama wewe hutampigia kura Magufuli sisi wengine tunaanzaje kumpigia huyo?

Naamini wewe VUTA-NKUVUTE kuwakilisha hisia na hali halisi ya wenye CCM wote ambao wameporwa na kusharauliwa na wanaojiita CCM Mpya.
 
Sina haja ya kusubiri kampeni zianze ili nishawishike. Sina haja ya kuuficha ukweli huu. Mwaka 2015, nilimsambaratisha Lowassa na kumpigia kura mgombea wa CCM yangu Dr.John P. Magufuli. Baada ya miaka yake mitano madarakani, nimekata shauri kuwa SITAMPIGIA KURA. Kupiga au kutopiga kura kwa mgombea, kwa kila mtanzania, kuna sababu yake. Kwangu mimi kinachonivutia ni kuongoza kikatiba, kisheria, kikanuni na kistaha.

Mimi Mzee Tupatupa, kada mwandamizi wa CCM, SITAMPIGIA KURA Dr. Magufuli pamoja na kuwa ni mgombea wa chama changu. Kitendo chake na kauli zake za KUHODHI FEDHA za Serikali kimenifanya nitafakari na kuamua nilivyoamua. Dr. Magufuli amejipambanua kama 'mmiliki pekee' wa fedha za nchi hii zilizopaswa kusimamiwa na Bunge. Kila apitapo, husema kuwa 'ninawapa/ninawaletea' kiasi fulani za fedha kana kwamba fedha hizo ni zake binafsi.

Kitendo cha kuhodhi hivyo kimezalisha watanzania wanafiki na watu wa kujipendekeza. Utawasikia: 'Rais ametuletea shilingi....... kwa ujenzi wa madarasa; Rais amekubali kutuletea shilingi....kwa ajili ya barabara' na kadhalika. tena utawasikia: 'Rais ametujengea…...', 'Rais amejenga…..'.Hapo Rais anachorwa kama aliyehodhi mfuko wa Hazina na fedha zote za Serikali . Hili si jambo la kuliunga mkono wala la kumpa kura mgombea wa aina hii.

Fedha za nchi zina utaratibu wake wa kukusanywa, kutumika na kukaguliwa. Kuhodhiwa na mtu mmoja si jambo jema wala la kuungwa mkono. Kuwa kiongozi wa Serikali hakutoshi kumfamya mhusika kuhodhi fedha zote za umma. Kwa hilo tu, SITAMPIGIA KURA. Haya ni maamuzi yangu binafsi.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa jijini Dodoma)

Sasa mzee wangu Vuta Nikuvute, kama humkubali Magufuli mbona alipata kura 100%, ikiwemo na kura yako? Au yale matokeo yalichakachuliwa?
 
Sina haja ya kusubiri kampeni zianze ili nishawishike. Sina haja ya kuuficha ukweli huu. Mwaka 2015, nilimsambaratisha Lowassa na kumpigia kura mgombea wa CCM yangu Dr.John P. Magufuli. Baada ya miaka yake mitano madarakani, nimekata shauri kuwa SITAMPIGIA KURA. Kupiga au kutopiga kura kwa mgombea, kwa kila mtanzania, kuna sababu yake. Kwangu mimi kinachonivutia ni kuongoza kikatiba, kisheria, kikanuni na kistaha.

Mimi Mzee Tupatupa, kada mwandamizi wa CCM, SITAMPIGIA KURA Dr. Magufuli pamoja na kuwa ni mgombea wa chama changu. Kitendo chake na kauli zake za KUHODHI FEDHA za Serikali kimenifanya nitafakari na kuamua nilivyoamua. Dr. Magufuli amejipambanua kama 'mmiliki pekee' wa fedha za nchi hii zilizopaswa kusimamiwa na Bunge. Kila apitapo, husema kuwa 'ninawapa/ninawaletea' kiasi fulani za fedha kana kwamba fedha hizo ni zake binafsi.

Kitendo cha kuhodhi hivyo kimezalisha watanzania wanafiki na watu wa kujipendekeza. Utawasikia: 'Rais ametuletea shilingi....... kwa ujenzi wa madarasa; Rais amekubali kutuletea shilingi....kwa ajili ya barabara' na kadhalika. tena utawasikia: 'Rais ametujengea…...', 'Rais amejenga…..'.Hapo Rais anachorwa kama aliyehodhi mfuko wa Hazina na fedha zote za Serikali . Hili si jambo la kuliunga mkono wala la kumpa kura mgombea wa aina hii.

Fedha za nchi zina utaratibu wake wa kukusanywa, kutumika na kukaguliwa. Kuhodhiwa na mtu mmoja si jambo jema wala la kuungwa mkono. Kuwa kiongozi wa Serikali hakutoshi kumfamya mhusika kuhodhi fedha zote za umma. Kwa hilo tu, SITAMPIGIA KURA. Haya ni maamuzi yangu binafsi.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa jijini Dodoma)
Na kwamba miradi ya maendeleo itaanz akwanza kwenye majimbo ya CCM.

This was very silly.
 
Akiandika ukweli ule mchungu ukawii kulaumu, napata wakati mgumu kujua wafuasi wa upinzani wanasimamia wapi linapokuja suala la maslahi mapana ya nchi na yenye tija kwa vizazi vijavyo

Mimi ni CCM haswaa sio wa kubahatisha, niko ndani nimezama na kuzama. Ila fitina kwangu ni mwiko, nitasema kweli daima.

Ukishindwa kuheshimu katiba uliyoitumia kuapa kuisimamia, automatically inakuwa huwajibiki kwa wananchi bali kwa matakwa ya muongozo wa moyo wako.

Maslahi mapana ya nchi yanaanza na katiba na sheria za nchi, sio matamanio ya mtu na wapambe wake
 
Kama hakuna sauti ya kumtoa Magufuli kwa nini unahangaika kupost hoja za kujibu? Kama "wanapayuka" wewe unaathirka vipi?
Anajitia moyo. Anategemea nguvu za polisi tu ambao nao wameshashtuka. Wamembeba sana lakini habebeki.
 
Mimi ni CCM haswaa sio wa kubahatisha, niko ndani nimezama na kuzama. Ila fitina kwangu ni mwiko, nitasema kweli daima.

Ukishindwa kuheshimu katiba uliyoitumia kuapa kuisimamia, automatically inakuwa huwajibiki kwa wananchi bali kwa matakwa ya muongozo wa moyo wako.

Maslahi mapana ya nchi yanaanza na katiba na sheria za nchi, sio matamanio ya mtu na wapambe wake
Swadakta mimi ni mwanachadema. Lissu akiwa Rais akizingua lwa maswala ya katiba ya nchi nitamlipua tu. Haijalishi vipi.

Lazima tufike mahala tuheshimiane kama watanzania wa taifa moja.
 
Duh Mzee Tupatupa, hii ni hatari sana kwa mgombea wetu kwasababu kura yako ndio the determinant vote ya kumfanya JPM arejee Ikulu kwa kushinda urais!.

Kama ingekuwa bila wewe kumpigia kura yako rais Magufuli, then hawezi kushinda urais, hapo tungekubembeleza na lukupigia magoti tuipate kura yako!, JPM ashinde, lakini kwa vile Watanzania wana macho yanaona na masikio wanasikia, wameona na wanasikia, wanajua wanataka nini na ni nani atawapatia wanachotala, hivyo hiyo October, wanajua wachague nini na wanamchagua nani.

Hivyo Mzee Mwenzangu Tupa Tupa, you can as well, just go to ... with your single, tiny, insignificant piece of sand kwenye ufukwe wetu wa mafuriko ya ushindi.
Wish you all the best!.
P
Nimesoma maandiko haya na kurudia kuangalia ID yake,kwa kweli nimestaajabu sana sana ndugu Pascal Mayalla . Ni wewe kweli wa kutothamini kura moja?
Ni wewe kweli ya kumwambia mpiga kura kuwa kura yake ni "single, tiny, insignificant"!!??
Nimeamini kuwa CCM kwa sasa ni kuacha ubongo, akili, weledi, werevu, busara na utu wema kabatini nyumbani kwako. Pole sana.
 
Nimeshiriki chaguzi tangu Mkapa, sijawai kuchagua ccm! Mafuriko ya 2015 yalitaka kunikatisha tamaa, lakini Lisu ameniamsha tena!
 
Mimi nikitakiwa kufa au kumpa kura yangu Magufuli, nitachagua kufa na hata ikibidi nifufuke halafu nife tena, nitakua tayari kuliko kumpa kura Magufuli.
 
Siwezi kumpa kura yangu huyu mpiga kelele ambae anaaminisha wajinga wenzake kwamba kutosafiri nje ya nchi ni uzalendo.......

Akili za kitoto kabisa hizi
 
Kila siku nakagua kitambulisho changu cha kupiga kura baada ya kuhakiki jina langu kwenye kituo cha kupigia kura ili kujiweka sawa na siku hiyo.
Sihitaji kampeni ili kutoa maamuzi. Nimekwisha Fanya. Naendelea na kuwahamasisha wengine waniunge mkono kwa kuwanyima kura wagombea wore wa ccm. Sababu ni nyingi, lakini inayonisukuma ni kitendo cha ubaguzi wa serikali hii kuwanyima mikopo ya elimu ya juu baadhi ya waombaji, tena wenye sifa.
Aise, umenigusa mno tena mno, ningepata contact details zako ningekutumia bando la mwezi kabisa.

Jukumu la kumsomesha mtoto wa elimu ya juu ni la serikali maanake ndio inahitaji watalaamu sasa mzazi tena anawajibikaje wakati yeye ahitaji mtaalamu nyumbani kwake?

Mzazi anahangaika hadi mtoto anahitimu kidato cha sita eti bado serikali anakwepa jukumu lake la kumsomesha kwa elimu ya juu na kumuachia tena mzazi huo msalaba wakati ni hiyo hiyo serikali ndio inahitaji watalaamu. This is very stupid indeed.

Serikali sampuli hii ni msalaba kwa wananchi na kamwe haiwezi kupita katika uchaguzi wowote bila kuiba kura. Never.
 
Aiseee sio Siri CCM Kuna watu wameumbukaje sana na hili jitu ,shamba ,jinga ,Rundi ,Hutu limetuletea mam o ya ajabu Sana nchini mwetu.
 
Back
Top Bottom