Ndomaana mnafeli. Kwanini mnapenda kuona watu ni wajinga sana kiasi kwamba hawana uelewa? Kama ni wapiga dili si muwatakatishie hela muwafunge kama kawaida yenu? Ukitaka kujua wewe ni mjinga ni pale unapoanza kujiona unajua kila kitu.Wapiga dili mmevumilia mpaka mmeona mtoe povu. Mlizoea kuzichota, sasa hamna mwanya mnatapatapa.
Kura yako hiyo moja haiwezi kumnyima ushindi. Kwanza inaweza kuwa ni kati ya zile zinazoharibika.
Hiyo mapema asubuhi, hatima ya upinzani itakuwa imefikia mwisho kwenye siasa za TanzaniaAnang'oka asubuhi mapema
Mlisema chadema imekufa, mbona mnaha gaika kuzima radio na Tv?Hiyo mapema asubuhi, hatima ya upinzani itakuwa imefikia mwisho kwenye siasa za Tanzania
Duh Mzee Tupatupa, hii ni hatari sana kwa mgombea wetu kwasababu kura yako ndio the determinant vote ya kumfanya JPM arejee Ikulu kwa kushinda urais!.Sina haja ya kusubiri kampeni zianze ili nishawishike. Sina haja ya kuuficha ukweli huu. Mwaka 2015, nilimsambaratisha Lowassa na kumpigia kura mgombea wa CCM yangu Dr.John P. Magufuli. Baada ya miaka yake mitano madarakani, nimekata shauri kuwa SITAMPIGIA KURA. SITAMPIGIA KURA. Haya ni maamuzi yangu binafsi.
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa jijini Dodoma)
Nawasalimu saaaana wajumbe wa KAWEust go to ... with your single, tiny, insignificant piece of sand kwenye ufukwe wetu wa mafuriko ya ushindi.
Hivi we imeshindikanaga kabisa kukumbukwa kwenye teuzi?Duh Mzee Tupatupa, hii ni hatari sana kwa mgombea wetu kwasababu kura yako ndio the determinant vote ya kumfanya JPM arejee Ikulu kwa kushinda urais!.
Kama ingekuwa bila wewe kumpigia kura yako rais Magufuli, then hawezi kushinda urais, hapo tungekubembeleza na lukupigia magoti tuipate kura yako!, JPM ashinde, lakini kwa vile Watanzania wana macho yanaona na masikio wanasikia, wameona na wanasikia, wanajua wanataka nini na ni nani atawapatia wanachotala, hivyo hiyo October, wanajua wachague nini na wanamchagua nani.
Hivyo Mzee Mwenzangu Tupa Tupa, you can as well, just go to ... with your single, tiny, insignificant piece of sand kwenye ufukwe wetu wa mafuriko ya ushindi.
Wish you all the best!.
P
Duh Mzee Tupatupa, hii ni hatari sana kwa mgombea wetu kwasababu kura yako ndio the determinant vote ya kumfanya JPM arejee Ikulu kwa kushinda urais!.
Kama ingekuwa bila wewe kumpigia kura yako rais Magufuli, then hawezi kushinda urais, hapo tungekubembeleza na lukupigia magoti tuipate kura yako!, JPM ashinde, lakini kwa vile Watanzania wana macho yanaona na masikio wanasikia, wameona na wanasikia, wanajua wanataka nini na ni nani atawapatia wanachotala, hivyo hiyo October, wanajua wachague nini na wanamchagua nani.
Hivyo Mzee Mwenzangu Tupa Tupa, you can as well, just go to ... with your single, tiny, insignificant piece of sand kwenye ufukwe wetu wa mafuriko ya ushindi.
Wish you all the best!.
P
Shida sana kada wa Chadema anapofanya maigizo kama kada wa CCM.