Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
eti baharia [emoji1787][emoji1787]Naona baharia wenu hajaapishwa amekataa na hatachanja [emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eti baharia [emoji1787][emoji1787]Naona baharia wenu hajaapishwa amekataa na hatachanja [emoji2][emoji2]
Kesha apishwa na anapelekwa darasani kufunzwa diplomasia.Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
Pole pole kaapa NJAA mbaya sanaTunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
Mtu anakuambia Polepole atafanyaje kama yeye mke wake vile!Kesha apishwa na anapelekwa darasani kufunzwa diplomasia.
Hujui siasa na wanasiasa wa bongo wewe.
Mkuu anzisheni dhehebu Hayati awe nabii wenu.Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
[emoji23][emoji23][emoji23] Mwandiko wake haujifichiBro. umeniwahi.
Ulitaka afanyeje na ili iweje?je utamlelea familia yake?Pole pole kaapa NJAA mbaya sana
Na ili aende Malawi lazima achanje patamu hapoo...Ulitaka afanyeje na ili iweje?je utamlelea familia yake?