Sitarajii Polepole kuapishwa kesho, ukibisha ungana na timu wahuni

Sitarajii Polepole kuapishwa kesho, ukibisha ungana na timu wahuni

Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.

Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.

Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.

Malawi aende muhuni mwenzao.

Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?

Why now? Why this week? How?


Tusubiri kukuche!
Pole, do not trust an empty stomach.
 
Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.

Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.

Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.

Malawi aende muhuni mwenzao.

Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?

Why now? Why this week? How
Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.

Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.

Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.

Malawi aende muhuni mwenzao.

Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?

Why now? Why this week? How?


Tusubiri kukuche!
Keshaapishwa tayari
?


Tusubiri kukuche!
Keshaapishwa tayari
 
Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.

Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.

Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.

Malawi aende muhuni mwenzao.

Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?

Why now? Why this week? How?


Tusubiri kukuche!
Njaa hainaga jasiri bwana Taratibu faster kala kiapo.
 
Mwamba haendi Kuapishwa I tell you subiri kukuche uone. Akienda ataapishwa kisha atajiulu kabla hajaenda Malawi.
Ataenda chuo Kwanza halafu wahuni watakutana naye kabla hajaenda Malawi.Atatangaza kuchanga ndo aende Malawi.Wahuni siyo watu.
 
IMG-20220315-WA0282.jpg
 
Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.

Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.

Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.

Malawi aende muhuni mwenzao.

Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?

Why now? Why this week? How?


Tusubiri kukuche!
Vipi bado unaota? Mwenzenu njaa imeuma ameamua ajiunge tu maana hawezi kusujudu wafu.

Nyie enedeleeni kudanganyika tu mnajikusanya Kama watoto wa secondary, wake up brother this is real life, kila mtu anatetea tumbo lake.

Akatae nafasi halafu mtampa chakula nyie au ndio mnataka muendelee unyonge sio?? Amekataa unyonge amegundua ni ufala kuishi kusujudu wafu
 
Jiwe alimfanya Nchimbi hivyo hivyo akamtupa Brazil!! Afadhali hapo Malawi sio mbali sana anaweza kupanda basi akaja kuangalia miradi yake! Polepole alikuwa na mradi wa Uwakala wa mitandao ya Simu kule Bahari beach!!
Hahah kumbe unapajua pale karibu na Kona ya kwenda bahari beach kwenye zile frem😃
 
Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.

Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.

Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.

Malawi aende muhuni mwenzao.

Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?

Why now? Why this week? How?


Tusubiri kukuche!
mwenzio anakenua hadi jino la mwisho wewe unasemaje [emoji1787]
FB_IMG_1647355406543.jpg
 
Back
Top Bottom