Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Kwani ubalozi sio kazi mpaka akatae?? Huyo aliyempa ubunge akakubali haikuitwa uhuni au kunyamazishwa na ndo huyo huyo kaona slow slow anafaaa kwenda kuimarisha mahusiano ya kidiplomasia huko Malawi, kama ni shule ya ungozi huko pia wapo wanahitaji hiyo kozi atapata wanafunzi wapya, aende tuu