Sitarajii Polepole kuapishwa kesho, ukibisha ungana na timu wahuni

Sitarajii Polepole kuapishwa kesho, ukibisha ungana na timu wahuni

ccm uanachama wake sio shuruti anaweza akajivua uanachama kisha ndio akakataa au akagomea uapisho. Anaishi kwa kujiandaa na mbingu kuliko ufalme wa dunia. Mark my words, hata akiapa atajiuzulu kabla ya kwenda Malawi amini hilo polepole haendi Malawi. Wamemfanyia kebehi ya makusudi na yeye anajua na hakubali huo ujinga wao.
Mbona huna msimamo? Mara haendi kuapishwa mara hata akiapishwa atajiuzulu.

Sasa kama ana msimamo thabiti kwanini asikatae moja kwa moja kuapishwa ili imani yake kwa wanaomuunga mkono iongezeke mara dufu?
 
Mbona huna msimamo? Mara haendi kuapishwa mara hata akiapishwa atajiuzulu.

Sasa kama ana msimamo thabiti kwanini asikatae moja kwa moja kuapishwa ili imani yake kwa wanaomuunga mkono iongezeke mara dufu?
Utiii wa jamhuri ni tofauti na utii wa mamlaka ya uteuzi. Jamhuri ni abstract concept it's our horizon for everything. Wale bibi na bwana waone vile tu.
 
Ila wafuasi wa jiwe mnaongoza kwa roho mbaya sana.

Mna ubinafsi mwingi, ukabila na ujiwe kwa sana.

Halafu hamueleweki mnataka nini haswa
Tuna hasira tunatamani hata vita itokee halafu tuone mshindi nani.
 
Utiii wa jamhuri ni tofauti na utii wa mamlaka ya uteuzi. Jamhuri ni abstract concept it's our horizon for everything. Wale bibi na bwana waone vile tu.
Hiki ulichokiandika kinahusiana vipi na nilichokiandika?

Soma tena uone nimeandika ama kuuliza nini.
 
Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.

Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.

Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.

Malawi aende muhuni mwenzao.

Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?

Why now? Why this week? How?


Tusubiri kukuche!


Kwenye kila changamoto kuna fursa ya kufanya yanayokupa faida

Tusubiri kupata darasa la uongozi toka Lilongwe
 
IMG-20220315-WA0123.jpg
 
Naamini watu wanafahamishwa kabla na wakikubali ndipo uteuzi hutangazwa.
Huyu kima ana jua kitu basii... mwache ajiharishie akimaliza ata tawaza hiv Mh: Raisi ana weza kukurupuka tu? Naamini katika process ile ni taasisi [emoji1787][emoji111]
 
Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.

Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.

Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.

Malawi aende muhuni mwenzao.

Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?

Why now? Why this week? How?


Tusubiri kukuche!
Kuna mvundo mmbaya sana kwenye hili. Hata uvunjajibwa katiba.
Humprey PolePole.
kwa taadhima uombe kukataa uteuzi huu wa chuki na kutaka kukunyamazisha. Huo Ubalozi sisi wananchi tunataka uwe BALOZI WA MAGUFULI na Afrika na sio kwenda kwenye tundu hili la sindano.

Gaucho, #BALOZIWA MAGUFULIFICATIONNASIOWAWAHUNI.
Aluta Continua
 
Back
Top Bottom