Sitarajii Polepole kuapishwa kesho, ukibisha ungana na timu wahuni

Sitarajii Polepole kuapishwa kesho, ukibisha ungana na timu wahuni

Polepole anaendelea kubamba kwenye heading mbalimbali mpaka muda huu he is man of the week!.

Although kuna hoja inasemwa na kuandikwa either ni hii ya unafiki au nyingine yoyote, maishani huwezi kuwa chini ya mamlaka alafu ukasimama na msimamo wako, wapi 'ina'fanyika?.

Mfano, makamu wa kwanza wa rais wa zanzibar anatekeleza ilani ya ACT hama CCM?.

So Polepole, mwingine yeyote au wewe unayesoma upewe uongozi alafu kasimamie msimamo wako tuone!.

Hata huyo lissu anayejifanya eti "Rais Samia usiniteue..." ahahahaaa unadhani kwa nini anasema nikiteuliwa nitakuwa nimefungwa mdomo? Anajua atakuwa anamtumikia nani.

So tujadili ila fitina na ule uafrika isiwe na nafasi.
 
Hapa watu wataanza kufananisha sauti ya mtoa Mada na Ile sindano ya bacteria saa ikibofywa.
 
Malawi wanalima mno Bangi nzuri hivyo ukienda jitahidi kujifunza inalimwa vipi ili ikiwezekana uje utoe Elimu kwa Watanzania ili tuilime kwa Kuiuza nje kama Uganda nchi iweze Kuingiza Kipato na hata Sisi Raia tuweze Kutajirika nayo japo tunakuahidi kuwa hatutoivuta kama ambavyo nawe pia huivuti na hujawahi Kuivuta.
ushauri mzuri sana huu pia asisahau kwenda na yale mafuta yake pendwa 🤣🤣
 
Alafu kuna watu tunabaki kutukansna tu kisa wanna siasa[emoji16][emoji16].
Wenzefu wanna kula maisha
 
Mwenezi Mstaafu
AAmeoekanaa Dodoma Kwenye Ghetto Lake Kitanda Cha Futi Mbili
Bila Shaka Ataapa Atachanjwa Vizuri

Shule Ya Uongozi Chali
 
I bet Polepole hakupewa taarifa. Hii ni strategy ya kumuondoa Polepole bungeni. Maana hawakuwa na namna nyingine yoyote ya kumnyang'anya ubunge isipokuwa kumpa uteuzi wa aina hii
Kwani Rais na wasaidizi wake wakati wanamteuwa kuwa mbunge hawakujua kama hakuna namna ya kumnyang'anya ubunge hadi waanze kuhaha leo?
 
Asipoapa leo hana nafasi tena bungeni maana nafasi yake ya viti maalumu imechukuliwa na Shamsi Vuai Nahodha.

Hivyo atabaki kuwa mkuu wa shule yake ya uongozi.
 
Asisahau kuchanja maana Malawi huingii bila kuchanjwa.
 
Back
Top Bottom