and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Huelewek. Subir acceptance speech baada ya Kula kiapo cha uaminifuMwamba haendi Kuapishwa I tell you subiri kukuche uone. Akienda ataapishwa kisha atajiulu kabla hajaenda Malawi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huelewek. Subir acceptance speech baada ya Kula kiapo cha uaminifuMwamba haendi Kuapishwa I tell you subiri kukuche uone. Akienda ataapishwa kisha atajiulu kabla hajaenda Malawi.
NakaziaNjaa mbaya sana. Atakubali tuu
I bet Polepole hakupewa taarifa. Hii ni strategy ya kumuondoa Polepole bungeni. Maana hawakuwa na namna nyingine yoyote ya kumnyang'anya ubunge isipokuwa kumpa uteuzi wa aina hiiNaamini watu wanafahamishwa kabla na wakikubali ndipo uteuzi hutangazwa.
Hivi kujiuzulu sio mpaka aliyekuteua akubali au inategemea na nafasi?Kubali kisha apishwa kisha andika barua ya kujiuzulu simple as that.!!
Sidhani kwani huo ni uhuru wa mtu, ila si vyema kukataa kutumiakia Taifa, lakini inategemea na vitendo vya chama kilichopo madarakani. Waweza kupata adhabu kiaina kutokana na chama kilichopo madarakani na serikali yake, hili laweza kutokea hasa kwenye nchi za uongozi wa kiimla, mchanganyiko wa kiimla na kidemokrasia, zinazoendelea, na kusini mwa jangwa la sahara!Kn hatua zozote anachukuliwa mtu akigomea uteuzi wa rais?
Kam ni umri mdogo, yule wa Ujerumani vipi?Being an ambassador at that age too sarcastic really.
haita tafsiriwa kuwa umedharau mamlaka ya rais na uteuzi? Ukaadhibiwa kwa hilo?Sidhani kwani huo ni uhuru wa mtu, ila si vyema kukataa kutumiakia Taifa, lakini inategemea na vitendo vya chama kilichopo madarakani. Waweza kupata adhabu kiaina kutokana na chama kilichopo madarakani na serikali yake, hili laweza kutokea hasa kwenye nchi za uongozi wa kiimla, mchanganyiko wa kiimla na kidemokrasia, zinazoendelea, na kusini mwa jangwa la sahara!
Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.
Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.
Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.
Malawi aende muhuni mwenzao.
Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?
Why now? Why this week? How?
Tusubiri kukuche!
Bro. umeniwahi.Huyu Mwandishi ni yuleyule jamaa yetu mwenye ID's kama mia hivi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sitarajii kusikia au kuona ukikataa Uteuzi au kwenda Kuapishwa na Mamlaka.
Najua unayoyapitia na Machungu uliyonayo hasa baada ya Kutupwa ila Usigome.
Mamlaka huwa haibishiwi hata kama huipendi na una Bifu nayo ila yakupasa Kuitii.
Yanayokutokea sasa ni Matokeo ya Unafiki wako, Jeuri yako na Kujisahau Kwako.
Malawi wanalima mno Bangi nzuri hivyo ukienda jitahidi kujifunza inalimwa vipi ili ikiwezekana uje utoe Elimu kwa Watanzania ili tuilime kwa Kuiuza nje kama Uganda nchi iweze Kuingiza Kipato na hata Sisi Raia tuweze Kutajirika nayo japo tunakuahidi kuwa hatutoivuta kama ambavyo nawe pia huivuti na hujawahi Kuivuta.
Nani Genta auMwenye Uzi ulianza vizuri nikajua una maneno ya busara kumbe ni shombo tupu ah nime kwazika
Nani ataendeleza shule ya uongozi?Alikuambia haendi?