Sitarajii Polepole kuapishwa kesho, ukibisha ungana na timu wahuni

Sitarajii Polepole kuapishwa kesho, ukibisha ungana na timu wahuni

Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.

Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.

Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.

Malawi aende muhuni mwenzao.

Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?

Why now? Why this week? How?


Tusubiri kukuche!
Ametegwa kuna mambo mawili hapa:
  1. Lengo ni kumwondoa kwenye ubunge kijanja, je anaondolewaje? Kama alishiriki mipango haramu ya kuwaumiza wenzake, basi ujanja huohuo unatumika kumwondoa yeye, hapa akikataa hatakuwa amemkomoa au kumuaibisha kiongozi ila hicho atakachofanya ndicho wenzake walikusudia kiwe, hawakutaka kumwondoa kwa aibu. (Tengua uteuzi)
  2. Amepelekwa ubalozi wa nchi inayochanja dhidi ya covid19 ambayo yeye si muumini wake, akienda atalazimika kuchanja na atakuwa amesaliti msimamo wake, asipokwenda ndiyo furaha ya wateuzi kwakuwa atachomoka kwenye mfumo, kwahiyo kilichofanyika ni kucheza na akili yake

 
Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.

Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.

Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.

Malawi aende muhuni mwenzao.

Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?

Why now? Why this week? How?


Tusubiri kukuche!
Mm furaha yangu ni Mungu kutuondolea Magufuli
 
Ametegwa kuna mambo mawili hapa:
  1. Lengo ni kumwondoa kwenye ubunge kijanja, je anaondolewaje? Kama alishiriki mipango haramu ya kuwaumiza wenzake, basi ujanja huohuo unatumika kumwondoa yeye, hapa akikataa hatakuwa amemkomoa au kumuaibisha kiongozi ila hicho atakachofanya ndicho wenzake walikusudia kiwe, hawakutaka kumwondoa kwa aibu. (Tengua uteuzi)
  2. Amepelekwa ubalozi wa nchi inayochanja dhidi ya covid19 ambayo yeye si muumini wake, akienda atalazimika kuchanja na atakuwa amesaliti msimamo wake, asipokwenda ndiyo furaha ya wateuzi kwakuwa atachomoka kwenye mfumo, kwahiyo kilichofanyika ni kucheza na akili yake

Karma is real
 
Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.

Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.

Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.

Malawi aende muhuni mwenzao.

Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?

Why now? Why this week? How?


Tusubiri kukuche!
Hana Ubavu wa kukataaa, Magufuli ni marehemu yeye ni nani apinge. Skate kwenda apelekwe aapishiwe hata chumbani pre recorded taaapa tu
 
Tunajua alijua tarajio hili au la namna hii na alijiandaa. Asituangushe amuenzi Magufuli kwa dhati ya Mungu wake. Fedheha ni mbaya akatae.

Polepole huwa hayumbishwi na ufalme wa duniani chini ya jua. Hiari ni hiari tu tugange yajayo.

Ukimtegemea Mungu ufalme wa duniani hauna tija.

Malawi aende muhuni mwenzao.

Je, kaka atamuenzi Magufuli? Je hatagundua umakusudi huu na hasa wiki ya kuazimisha kifo cha Mwamba Magufuli?

Why now? Why this week? How?


Tusubiri kukuche!
Nimewaza na kufikiri kama wewe lakini sijui
 
Sitarajii kusikia au kuona ukikataa Uteuzi au kwenda Kuapishwa na Mamlaka.

Najua unayoyapitia na Machungu uliyonayo hasa baada ya Kutupwa ila Usigome.

Mamlaka huwa haibishiwi hata kama huipendi na una Bifu nayo ila yakupasa Kuitii.

Yanayokutokea sasa ni Matokeo ya Unafiki wako, Jeuri yako na Kujisahau Kwako.

Malawi wanalima mno Bangi nzuri hivyo ukienda jitahidi kujifunza inalimwa vipi ili ikiwezekana uje utoe Elimu kwa Watanzania ili tuilime kwa Kuiuza nje kama Uganda nchi iweze Kuingiza Kipato na hata Sisi Raia tuweze Kutajirika nayo japo tunakuahidi kuwa hatutoivuta kama ambavyo nawe pia huivuti na hujawahi Kuivuta.
Mbona unamsemea kuwa haivuti wakati hauishi naye!
 
Back
Top Bottom