Sitasahau siku ambayo Nape Nnauye alipotembea kwa miguu Ikulu kwenda kuomba msamaha

Sitasahau siku ambayo Nape Nnauye alipotembea kwa miguu Ikulu kwenda kuomba msamaha

Ilikuwa siku tulivu sana na jana yake tulitumia kugonga moja baridi moja moto mpaka saa saba usiku na tukajiapiza hatutakaa tuombe msamaha kama walivyo fanya akina Makamba Jr na Ngeleja.

Cha kushangaza kesho yake mida ya saa tisa alasiri zikasambaa video zikimuonyesha mh Nape akitembea kwa miguu kwenda Ikulu kuomba msamaha kwa hayati rais Magufuli.!
Hakika hiyo siku nilipigwa ganzi sana.


Mtumikie kafiri upate wako mtaji ,kwa kipindi kile ilikuwa hakuna jinsi maana JIWE angempoteza kwenye ramani ya kisiasa na bado alikuwa bado hajajipanga vizuri kama wenzake kina kinana au membe ambao tayari wana ukwasi wasingeweza kulamba miguu ya JIWE.
 
Ujue usimwamini mtu zaidi ya mama yako aliyekuzaa.
Si kweli. Dunia imejaa stori za kina mama waliouza au kulaghai Mabinti zao kwa watu wabaya au hata kuwaharibia “nyumba” zao.

In any case, unafiki wa aina ya Nape unaeleweka sana Tanzania. Ndio mtindo wa maisha kwa wote “waliofanikiwa” huko CCM. Tafuta “aliyeukata” kwenye nafasi ya kisiasa serikalini bila kutumia unafiki. Unafiki halisi ni kule kujidai kumshangaa Nape.
 
Ilikuwa siku tulivu sana na jana yake tulitumia kugonga moja baridi moja moto mpaka saa saba usiku na tukajiapiza hatutakaa tuombe msamaha kama walivyo fanya akina Makamba Jr na Ngeleja.

Cha kushangaza kesho yake mida ya saa tisa alasiri zikasambaa video zikimuonyesha mh Nape akitembea kwa miguu kwenda Ikulu kuomba msamaha kwa hayati rais Magufuli.!
Hakika hiyo siku nilipigwa ganzi sana.


Ganzi ya nini sasa?
Nape ni Nape, na wewe ni wewe. Nyie ni watu wawili tofauti.
A world where everyone thinks the same would be nothing!
 
Magu alipenda sana kusujudiwa..alichomfanyia nape si kitendo kizuri kwa kweli..

Sema tu binadamu tumeubwa kusahau.
 
Dah mzee kaeleza kabisa "labda akengeuke mwenyewe huko mbele". Naona kaamua kukengeuka
Ilikuwa siku tulivu sana na jana yake tulitumia kugonga moja baridi moja moto mpaka saa saba usiku na tukajiapiza hatutakaa tuombe msamaha kama walivyo fanya akina Makamba Jr na Ngeleja.

Cha kushangaza kesho yake mida ya saa tisa alasiri zikasambaa video zikimuonyesha mh Nape akitembea kwa miguu kwenda Ikulu kuomba msamaha kwa hayati rais Magufuli.!
Hakika hiyo siku nilipigwa ganzi sana.

 
Back
Top Bottom