wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Tbc walimmulika toka getini jamaa anajifuta jasho na leso tu.
Daah siasa siasani.
Yule jamaa aliyemtishia bastola Nape ana hali gani sa hivi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tbc walimmulika toka getini jamaa anajifuta jasho na leso tu.
Daah siasa siasani.
Nape anakula KEKI wewe Endelea kuposti matukio mitandaoniNape ana unafiki wa kichadema chadema kama Lema!
Wewe unakula daily bread!Nape anakula KEKI wewe Endelea kuposti matukio mitandaoni
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Sema jamaa anajuta sana kujipendekeza tena maana wenzake walikazaaa 😀 😀Kuomba msamaha ndo uungwana! Alifanya sawa tijifunze kuwa wakarimu nakuomba msahama pale tunapokosea
Unaumwa mau----- basi ngoja nikuache John mbatiza mashetaniNape ana unafiki wa kichadema chadema kama Lema!
Hata Mimi sitasahau siku Nape aliposema Magufuli ni MSHAMBA!!
Sitasahau.
hata nape kateuliwa sema tu alizingua kukosa msimamo anachokisimamia...Angalia sasa hivi waliokaza wako wapi, wanakula mema ya nchi.
Njaa mbaya ndugu yangu, inasemekana shujaa alihakikisha familia imetapakaa njaa, ikabidi jamaa fanye alichofanya.hata nape kateuliwa sema tu alizingua kukosa msimamo anachokisimamia...
[emoji38][emoji38][emoji38]Njaa mbaya ndugu yangu, inasemekana shujaa alihakikisha familia imetapakaa njaa, ikabidi jamaa fanye alichofanya.
Hao jamaa ukiondoa nafasi za kisiasa hizo labda aimbe kwaya.
Umetoa ushauri wa maana sanahuyu dogo angefika mbali sana kama angepanga karata zake vizuri.
angeweza kuwa hata waziri mkuu miaka ijayo kwakuwa alifanikiwa kuwaadaa watu kuwa yeye ni mzalendo. alichotakiwa ni kutulia tu na hasa baada ya kuomba msamaha na baada ya kurudishwa hakuwa na sababu ya kuongea maneno ya shombo juu ya rais aliye mtengua.
angeendelea kupiga kazi akipunguza mbwembwe na watu wangemwamini. amwangalie kijana mwenzake anaelewa wazi kabisa watu hawampendi na yupo kwaajili ya nguvu ya baba yake lakini alichofanya ameamua kujishusha na kuwa kimya labda aonekane katika utendaji ili siku zijazo hata mshua anapokuwa ameondoka basi watu wafumbe macho waendelee kumsaidia kwa kumuweka kwenye madaraka.
ameshaanza sakafu yake wacha akimbie tuone mwisho wa sakafu yake.
Akina Absalom Kibanda waling'olewa meno katika utawala wa Kikwete, je Magufuli alihusika? Hilo jina la Mapwepande tumelijua baada ya watu kutekwa,kuteswa na kutupwa huko katika utawala wa Kikwete, je Magufuli alihusika? Husikii Kikwete akinyooshewa kidole kwa kuwateka, kuwatesa na kuwatupa porini akina Dr. Ulimboka lkn issue imekuwa ni Mwamba au kwa vile hayupo Duniani ndo maana mnapambana naye. Ukiona mtu anapambana na asiyekuwa na uwezo wa kumjibu jua mtu huyo ni dhaifu kimawazo na ni mtu wa kujipendekeza kwa walio haiLile jamaa lilikuwa liuwaji lazima Nape awe vile.
Mkumbushe huyo nyumbuAkina Absalom Kibanda waling'olewa meno katika utawala wa Kikwete, je Magufuli alihusika? Hilo jina la Mapwepande tumelijua baada ya watu kutekwa,kuteswa na kutupwa huko katika utawala wa Kikwete, je Magufuli alihusika?
Ngoja tuyafukue makaburi sasa maana hayo ndo wanayatafuta, leo hii waandishi wa habari akina Balile wamepoteza kabisa haiba yao wamebaki kujipendekeza na kupokea bahasha toka kwa mama tena kwa masimango ya kutangazwa, hapo utasema waandishi wataikosoa serikali kwa mabaya inayowatendea wananchi?Mkumbushe huyo nyumbu
[emoji38][emoji38][emoji38]Ngoja tuyafukue makaburi sasa maana hayo ndo wanayatafuta, leo hii waandishi wa habari akina Balile wamepoteza kabisa haiba yao wamebaki kujipendekeza na kupokea bahasha toka kwa mama tena kwa masimango ya kutangazwa, hapo utasema waandishi wataikosoa serikali kwa mabaya inayowatendea wananchi?
Aliwatuliza vigagula woteMagufuli alikuwa Mtu kwelikweli.
Kabisa yaniAliwatuliza vigagula wote
You nailed it !!Akina Absalom Kibanda waling'olewa meno katika utawala wa Kikwete, je Magufuli alihusika? Hilo jina la Mapwepande tumelijua baada ya watu kutekwa,kuteswa na kutupwa huko katika utawala wa Kikwete, je Magufuli alihusika? Husikii Kikwete akinyooshewa kidole kwa kuwateka, kuwatesa na kuwatupa porini akina Dr. Ulimboka lkn issue imekuwa ni Mwamba au kwa vile hayupo Duniani ndo maana mnapambana naye. Ukiona mtu anapambana na asiyekuwa na uwezo wa kumjibu jua mtu huyo ni dhaifu kimawazo na ni mtu wa kujipendekeza kwa walio hai