Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Sitoacha bange yakheUsiache bange kabisa kama unataka uwe na ndoto nyingi za hivyo
Na ipo siku utampigia Elon Musk umfokee Kwanini kachomoa [emoji366] ya kuinunua Twitter
Nina uhakika utaificha hii comment yako hii true story ikifika mwisho maana kila kitu kiko clear na nadhani yule meneja chapombe wa ile bank X keshasubscribe kwenye huu uziha haa haaa labda hii story unaiandika ukiwa kuzimu, benki siyo pa kuingia kihiivyo
Hata kurudi tena huku sijuiNina uhakika utaificha hii comment yako hii true story ikifika mwisho maana kila kitu kiko clear
NajaAisee usirudi baki hukohuko
Kwani bundle lako limekaribia kwishaHata kurudi tena huku sijui
Sitoacha bange yakhe
Nifanikiwe kuingia mara ngapi,nyie tulien tu Uzi ufike mwisho ndio mtagundua kuwa hamjui kituNi funguo za ofisi yake, sio za chumba cha pesa. Ukifanikiwa kuingia utaambulia tu mafaili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee naomba msubirie muendelezo maana mimi ndie niliepiga hili tukio mwanzo mwisho,sikusaidiana hata na panya magawabora usiendelee kama unajua security ya bank ilivyo.
Hii sidahni kwa kwa sababu ya vita vya Ukraine. Nadhani ni kwa sababu ya mwezi mpevu!Hadi vita ya Ukraine iishe tutakuwa tumeona mengi
Abaki huko, anywe chai yake chunguAisee usirudi baki hukohuko