Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
.Hapa Ndipo Chuki ilipo, Na Ni Kweli Hata Ningekuwa Mimi Nisingeipenda Hii View attachment 2390602
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Hapa Ndipo Chuki ilipo, Na Ni Kweli Hata Ningekuwa Mimi Nisingeipenda Hii View attachment 2390602
Sasa Kwan loser na yanga wanautofauti gani?Ila Afisa Habari wenu aliwahi sema mwaka jana kua Shirikisho ni kombe la looser.Pitia hapo chini uoneView attachment 2390659
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitaanzia nyumbani then zinamalizia ugenini. Kwa experience ya last season.Timu zote zilizotoka CHAMPIONS LEAGUE ZITAANZIA UGENINI
Zina anzia awayZitaanzia nyumbani then zinamalizia ugenini. Kwa experience ya last season.
Wewe ni Mkia aka Kolo na hauujui mpira.Timu iliyobeba makombe yote ya ndani na imecheza mechi 40+ bila kufungwa unasemaje kwamba ni mbovu? Afya ya akili na afya yako ya Uzazi vina shida.Dah ila hii yanga hii.....Nataman ata nijiue...Hivi timu yetu kumbe ndio mbovu kiasi hiki?
Mimi nipo kwenye benchi la ufundi kabisa mkuu...kuanzia babu yangu mpaka wajukuu wote yanga.Wewe ni Mkia aka Kolo na hauujui mpira.Timu iliyobeba makombe yote ya ndani na imecheza mechi 40+ bila kufungwa unasemaje kwamba ni mbovu? Afya ya akili na afya yako ya Uzazi vina shida.
Aliyewahi kuyabeza haya mashindano mpo naye huko jangwani.Eleweni wako watu watakaowabeza kucheza Shirikisho wakati wao hicho kikombe hawana na huko waliko hawawezi kupata kikombe. Matokeo ya leo yanaweza kuja kugeuka kuwa ni a blessing in disguise.
Mimi ndio nilisema?Duuu! Mwaka jana mlisema ni kombe la loser leo hii ni kombe muhimu #WajingaNyinyi.
Timu zote ambazo zimeshuka kutoka ligi ya mabingwa zinaanzia nyumbaniPoleni. Mdomo unawaponza. Mtaanzia nyumbani nyie ni underdog tu
Tena bila kujali ukubwa wako! Mazembe naye anaanzia nyumbani, ingawa alikuwa ni miongoni mwa timu sita ambazo hazikuanzia michezo ya awali! Wanafanya vizuri. Umefeli, umepewa nafasi ya ku-reseat, basi upendeleo huo unatosha!Timu zote ambazo zimeshuka kutoka ligi ya mabingwa zinaanzia nyumbani
Underdog wote huanzia nyumbani, so sio ajabu Wa Hapahapa FC kuanzia kwa MkapaNa si hivyo, tunaweza pia kupangiwa tena na timu zile zile zenye figisu figisu wanapocheza nyumbani. Hivyo, Yanga tujiandae kisaikolojia.
Kwa Tanzania, Kombe la Shirikisho bado ni kubwa mno kwani hakuna timu iliyowahi kubeba hicho kikombe, kwahiyo elekezeni nguvu huko.
Eleweni wako watu watakaowabeza kucheza Shirikisho wakati wao hicho kikombe hawana na huko waliko hawawezi kupata kikombe. Matokeo ya leo yanaweza kuja kugeuka kuwa ni a blessing in disguise.
Uwezo mnao. Tusubiri draw ya kesho kujua wapinzani wetu wapya.
Kazi kwenu viongozi.
Mi-underdog kokoPoleni. Mdomo unawaponza. Mtaanzia nyumbani nyie ni underdog tu
Unamaanisha 0.5 dahNa kwakua mna points chache mlizokusanya kuna wasiwasi kupangiwa na giant
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app