Sitashangaa kuona Yanga inaanzia tena nyumbani na kumalizia ugenini

Sitashangaa kuona Yanga inaanzia tena nyumbani na kumalizia ugenini

Nimeongezewa furaha baada ya utopolo kufurushwa kwa wakubwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787], mlitumia nguvu nyingi Sana kuwapokea wageni na kujaribu kuihujumu Simba Sc you never had a concept that karma eats later!

Go to hell ukakutane na waliojeruhiwa beki zenyewe akina Joyce na mwamnyetoooo!
Leo wamelala kwa maumivu mazitooo
 
Jana nilithibitisha kiwa Simba Sc. ina mashabiki wengi sana hasa huku mkoa wa Mbeya. Maana sio kwa kelele zile za kushangilia wakati Yanga wanapachimwa goli. Nilidhani Yanga ndio wamefunga
 
Jana nilithibitisha kiwa Simba Sc. ina mashabiki wengi sana hasa huku mkoa wa Mbeya. Maana sio kwa kelele zile za kushangilia wakati Yanga wanapachimwa goli. Nilidhani Yanga ndio wamefunga
Hamjatufunga kwahiyo lazima mshangilie(mna hasira na Yanga).
 
Aanzie nyumbani ipi tena? Si tumerudi home kukimbiza ligi? [emoji3]
 
Si wao utopolo ndiyo waliwabeza Simba kucheza shirikisho na wakasema mashindano ya walioshindwa?
Unasahau mapena hivi?
Kwa nini wasisahau wakati wenye akili pale ni wawili tu kwa mujibu wa mhamasishaji wao.
 
Usijitoe ufahamu alama 0.5 unategemea uanzie ugenini???
Then huyajui malengo ya Simba,,,target za Simba nikufka nusu fainali.
Tuna long term plans,, utopolo mlisema mmesajiri timu ya kucheza klabu bingwa....mmeshacheza malengo yenu yametimia!!!!!
Lisikie hili poyoyo lao
 
Jana nilithibitisha kiwa Simba Sc. ina mashabiki wengi sana hasa huku mkoa wa Mbeya. Maana sio kwa kelele zile za kushangilia wakati Yanga wanapachimwa goli. Nilidhani Yanga ndio wamefunga
Watu wote wenye akili timamu wanaichukia Yanga
 
Utopolo timu ndogo sana, hata CAF hawajui, mnajipaga moyo wa kijinga tu eti timu kubwa. Wakati hata kwenye timu 70 bora Africa hampo. Idiots
 
Usidanganye, Simba ilipotolewa na jwanneng Galaxy ilianzia nyumbani na kumalizia ugenini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], taabu iko palepale.
😂😂😂 Utawaua kwa presha hawa
 
Tunasubiri maamzi magumu kama ya ndugu zenu mazembe, shirikisho sio mchezo.
 
yanga ina ubovu gani mkuu ama umesimuliwa mpira mtu kakimbizwa dk 600 sema haikuwa bahati kwa yanga
Kakimbizwaje? Yani tulikuwa tunamiliki kwenye half yetu tu...Majamaa hayaji kukaba.. Tukianza kushambulia tukifika third quarter yanachukua mpira yanapiga pasi ya chini ndefu inakuta striker wao wawili tu ila wanatosha kuikata beki line yote ya yanga.

Hatukufanya shambulizi hata moja la maana.
 
Kakimbizwaje? Yani tulikuwa tunamiliki kwenye half yetu tu...Majamaa hayaji kukaba.. Tukianza kushambulia tukifika third quarter yanachukua mpira yanapiga pasi ya chini ndefu inakuta striker wao wawili tu ila wanatosha kuikata beki line yote ya yanga.

Hatukufanya shambulizi hata moja la maana.
Half yenu vipi kaka? DIARRA MPAKA ANACHEZA KAMA MCHEZAJI WA NDANI ULIKUWA HUONI AU??
 
Half yenu vipi kaka? DIARRA MPAKA ANACHEZA KAMA MCHEZAJI WA NDANI ULIKUWA HUONI AU??
Hiyo ni kwasababu majamaa yalikuwa hayaji hiyo half kabisa.
Kwani jana yanga ilikuwa na shots on target ngapi? Tuanzie apo
 
Back
Top Bottom