Sitashangaa kuona Yanga inaanzia tena nyumbani na kumalizia ugenini

Sitashangaa kuona Yanga inaanzia tena nyumbani na kumalizia ugenini

Ndio maana naamini wanaweza kucheza viziuri na kufika mbali kwenye shirikisho.
Unafikaje mbali wakati hutumii nafasi? Yaani ufike mbali kwa kumiliki na kuchezea mpira bila malengo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na si hivyo, tunaweza pia kupangiwa tena na timu zile zile zenye figisu figisu wanapocheza nyumbani. Hivyo, Yanga tujiandae kisaikolojia...
Sio kwamba mnaonewa timu zote zilizotoka CAFCL zinaanzia nyumbani kumalizia ugenini ndio kanuni kumbuka ya simba mwaka jana

Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom