nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,806
- 5,347
utopolo huna akili, akipangwa na bingwa mtetezi RS BERKANE itakuwaje??Timu zote zilizotoka CHAMPIONS LEAGUE ZITAANZIA UGENINI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utopolo huna akili, akipangwa na bingwa mtetezi RS BERKANE itakuwaje??Timu zote zilizotoka CHAMPIONS LEAGUE ZITAANZIA UGENINI
Hapana ,zinakutana na zilizikuwepo kwenye Cafcc toka mwanzoHivi utaratibu ni timu zilizotolewa kwenye Club Bingwa ndio zinakutanishwa kwenye play off au inakuwaje?
Zilizotoka kwenye cafcl zenyewe kwa zenyewe hazikutaniHivi utaratibu ni timu zilizotolewa kwenye Club Bingwa ndio zinakutanishwa kwenye play off au inakuwaje?
Timu zote zilizotoka CHAMPIONS LEAGUE ZITAANZIA UGENINI
Halafu AZAM Media walijua wakaenda na simu tu ndio wakatumia kurusha matangazo waliona michosho tu kubeba vifaa vingi msibani.
Si wao utopolo ndiyo waliwabeza Simba kucheza shirikisho na wakasema mashindano ya walioshindwa?Na si hivyo, tunaweza pia kupangiwa tena na timu zile zile zenye figisu figisu wanapocheza nyumbani. Hivyo, Yanga tujiandae kisaikolojia.
Kwa Tanzania, Kombe la Shirikisho bado ni kubwa mno kwani hakuna timu iliyowahi kubeba hicho kikombe, kwahiyo elekezeni nguvu huko.
Eleweni wako watu watakaowabeza kucheza Shirikisho wakati wao hicho kikombe hawana na huko waliko hawawezi kupata kikombe. Matokeo ya leo yanaweza kuja kugeuka kuwa ni a blessing in disguise.
Uwezo mnao. Tusubiri draw ya kesho kujua wapinzani wetu wapya.
Kazi kwenu viongozi.
Simba sio wapumbavu kama ninyi.Yaani nini cha kufia uwanjani wakati una ushindi tayari?Kwa asilimia 200. Furaha yenu mmeipata kwa Yanga kuondolewa.
Kwa asilimia 200. Furaha yenu mmeipata kwa Yanga kuondolewa.
Sisi utoporooo pamoja na haji manara tulishakubaliana kuwa kombe la shirikisho ni kombe la loosers....🤣🤣Si wao utopolo ndiyo waliwabeza Simba kucheza shirikisho na wakasema mashindano ya walioshindwa?
Unasahau mapena hivi?
Sio kwa Yanga hii ya kipumbavu...Na si hivyo, tunaweza pia kupangiwa tena na timu zile zile zenye figisu figisu wanapocheza nyumbani. Hivyo, Yanga tujiandae kisaikolojia.
Kwa Tanzania, Kombe la Shirikisho bado ni kubwa mno kwani hakuna timu iliyowahi kubeba hicho kikombe, kwahiyo elekezeni nguvu huko.
Eleweni wako watu watakaowabeza kucheza Shirikisho wakati wao hicho kikombe hawana na huko waliko hawawezi kupata kikombe. Matokeo ya leo yanaweza kuja kugeuka kuwa ni a blessing in disguise.
Uwezo mnao. Tusubiri draw ya kesho kujua wapinzani wetu wapya.
Kazi kwenu viongozi.
Usijitoe ufahamu alama 0.5 unategemea uanzie ugenini???Na si hivyo, tunaweza pia kupangiwa tena na timu zile zile zenye figisu figisu wanapocheza nyumbani. Hivyo, Yanga tujiandae kisaikolojia.
Kwa Tanzania, Kombe la Shirikisho bado ni kubwa mno kwani hakuna timu iliyowahi kubeba hicho kikombe, kwahiyo elekezeni nguvu huko.
Eleweni wako watu watakaowabeza kucheza Shirikisho wakati wao hicho kikombe hawana na huko waliko hawawezi kupata kikombe. Matokeo ya leo yanaweza kuja kugeuka kuwa ni a blessing in disguise.
Uwezo mnao. Tusubiri draw ya kesho kujua wapinzani wetu wapya.
Kazi kwenu viongozi.
Mna hasitra nayo kwasababu inawafunga na ni mabingwa weniu.Sio kwa Yanga hii ya kipumbavu...
Timu zote zilizotoka CHAMPIONS LEAGUE ZITAANZIA UGENINI
Hivi kumbe ukishakuwa Utopolo au Kima akili zinahama.Uwezo mnao. Tusubiri draw ya kesho kujua wapinzani wetu wapya.
Msahau hilo msimu huu.mabingwa weniu.
Mbona last season Simba alianzia nyumbani japokuwa alitoka CAFCL?Timu zote zilizotoka CHAMPIONS LEAGUE ZITAANZIA UGENINI