Sitashangaa kuona Yanga inaanzia tena nyumbani na kumalizia ugenini

Sitashangaa kuona Yanga inaanzia tena nyumbani na kumalizia ugenini

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Leo nna rahaa,Thimbaa,Madrid ,Arsenal plus Chelsea hata usingizi sinaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Halafu AZAM Media walijua wakaenda na simu tu ndio wakatumia kurusha matangazo waliona michosho tu kubeba vifaa vingi msibani.

Azam hawakwenda kurusha mchezo waliomba matangazo kutoka kwenye tv inayorusha matangazo sudan,wakaomba ridhaa ya kuonesha ila sio kwamba walienda na vifaa vyao hairuhusiwi
 
Na si hivyo, tunaweza pia kupangiwa tena na timu zile zile zenye figisu figisu wanapocheza nyumbani. Hivyo, Yanga tujiandae kisaikolojia.

Kwa Tanzania, Kombe la Shirikisho bado ni kubwa mno kwani hakuna timu iliyowahi kubeba hicho kikombe, kwahiyo elekezeni nguvu huko.

Eleweni wako watu watakaowabeza kucheza Shirikisho wakati wao hicho kikombe hawana na huko waliko hawawezi kupata kikombe. Matokeo ya leo yanaweza kuja kugeuka kuwa ni a blessing in disguise.

Uwezo mnao. Tusubiri draw ya kesho kujua wapinzani wetu wapya.

Kazi kwenu viongozi.
Si wao utopolo ndiyo waliwabeza Simba kucheza shirikisho na wakasema mashindano ya walioshindwa?
Unasahau mapena hivi?
 
Yaani nyie muanzie popote pale mnarudi NBCPL.
caf watawaletea Tena zalan
 
Si wao utopolo ndiyo waliwabeza Simba kucheza shirikisho na wakasema mashindano ya walioshindwa?
Unasahau mapena hivi?
Sisi utoporooo pamoja na haji manara tulishakubaliana kuwa kombe la shirikisho ni kombe la loosers....🤣🤣
 
Na si hivyo, tunaweza pia kupangiwa tena na timu zile zile zenye figisu figisu wanapocheza nyumbani. Hivyo, Yanga tujiandae kisaikolojia.

Kwa Tanzania, Kombe la Shirikisho bado ni kubwa mno kwani hakuna timu iliyowahi kubeba hicho kikombe, kwahiyo elekezeni nguvu huko.

Eleweni wako watu watakaowabeza kucheza Shirikisho wakati wao hicho kikombe hawana na huko waliko hawawezi kupata kikombe. Matokeo ya leo yanaweza kuja kugeuka kuwa ni a blessing in disguise.

Uwezo mnao. Tusubiri draw ya kesho kujua wapinzani wetu wapya.

Kazi kwenu viongozi.
Sio kwa Yanga hii ya kipumbavu...
 
Na si hivyo, tunaweza pia kupangiwa tena na timu zile zile zenye figisu figisu wanapocheza nyumbani. Hivyo, Yanga tujiandae kisaikolojia.

Kwa Tanzania, Kombe la Shirikisho bado ni kubwa mno kwani hakuna timu iliyowahi kubeba hicho kikombe, kwahiyo elekezeni nguvu huko.

Eleweni wako watu watakaowabeza kucheza Shirikisho wakati wao hicho kikombe hawana na huko waliko hawawezi kupata kikombe. Matokeo ya leo yanaweza kuja kugeuka kuwa ni a blessing in disguise.

Uwezo mnao. Tusubiri draw ya kesho kujua wapinzani wetu wapya.

Kazi kwenu viongozi.
Usijitoe ufahamu alama 0.5 unategemea uanzie ugenini???
Then huyajui malengo ya Simba,,,target za Simba nikufka nusu fainali.
Tuna long term plans,, utopolo mlisema mmesajiri timu ya kucheza klabu bingwa....mmeshacheza malengo yenu yametimia!!!!!
 
Uwezo mnao. Tusubiri draw ya kesho kujua wapinzani wetu wapya.
Hivi kumbe ukishakuwa Utopolo au Kima akili zinahama.

Yaani hii hii Yanga ya akina Kisinda, Mwanyeto na Morrisson ndio ina Uwezo😳

Usilinganishe uwezo wa kufunga Mbuni fc na Kufunga TP Mazembe.

Sasa droo mpewe Agosto kama hajawapiga nje ndani haijalishi kaanzia kwake au kwenu.
 
Back
Top Bottom