Sitawafundisha tena; Ukitaka mapenzi yasikusumbue tafuta mwanamke anayemiliki pesa yake mwenyewe(anayeweza kujilisha na kujitunza)

Sitawafundisha tena; Ukitaka mapenzi yasikusumbue tafuta mwanamke anayemiliki pesa yake mwenyewe(anayeweza kujilisha na kujitunza)

SITAWAFUNDISHA TENA; UKITAKA MAPENZI YASIKUSUMBUE TAFUTA MWANAMKE ANAYEMILIKI PESA YAKE MWENYEWE (ANAYEWEZA KUJILISHA NA KUJITUNZA)

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Elewa, mwanamke Anayemiliki pesa zake mwenyewe alafu akakukubalia uwe Mchumba au mpenzi wake huyo kuna uwezekano wa asilimia 90% anakupenda.

Hii ni tofauti na hawa ambao ni tegemezi.

Usiuamini upendo wa mtu tegemezi, na aliyemaskini.

Vijana wengi wanafanya makosa makubwa kujitoa kwa wanawake tegemezi. Ni kosa kubwa kufanya hivyo.

Mwanamke anayeweza kujilisha, kujivalisha, kujitunza huyo akitafuta mwanaume hutafuta mwanaume kwelikweli kwaajili ya kuwa Mke na huyo mwanaume kuwa Mume.
Hakunaga Unafiki hapo.

Lakini hawa tegemezi, njaanjaa, wanaofikiri kuwa mwanamke ni kilema, au Tiketi ya kuwa ombaomba hao usiwaweke kwenye hesabu. Watakuumiza. Wengi wao ni wanafiki.
Wengi wao mahusiano ni ajira Rasmi.
Wengi wao huwachukulia wanaume kama Misukule yako.

Usitegemee pesa za Mwanamke. Lakini hiyo haimaanishi huyo mwanamke asiwe na pesa yaani asiwe anafanya Kazi.

Mhudumie Mkeo au mwanamke lakini naye anapaswa kujihudumia kwa sehemu. Sio umhudumie kwa kila kitu.
Utakuja kupigwa vibaya wewe.

Usitoe vyote kwa pamoja. Yaani moyo na nguvu kwa mwanamke.
Toa kimoja uache kimoja.

Mfano, Kama utatoa pesa Basi usimpe Moyo wako. Hiyo tunaita kumfanya mwanamke Malaya. Yaani unanunua huduma yake.

Kama utatoa Moyo wako Basi usimpe Nguvu zako(Pesa), hiyo tunaita kupima nguvu ya mawimbo ya bahari.

Ni kosa utoe Moyo wako wote kisha utoe na pesa. Hiyo tunasema kugeuzwa mtumwa na msukule WA Mwanamke.

Haya nimemaliza.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Fact,nna wangu ana mizinga balaa! Kibaya zaidi nimempa na moyo sasa! ananiendesha kama mume bwege walah
 
Kuna shida anayo mleta mada

1.Hana mifumo ya kumuingizia Hela ndio sababu anawaza mambo ya ajabuajabu hivi.
2.Amekata Tamaa ya maisha.
3.Anatawaliwa-anaongozwa na mke wake ama mpenzi aliyenaye.

Kimsingi Mwanaume mwenye kipato Cha kutosha hawezi kukubaliana na mleta mada, Kwa sababu sisi tumeumbwa kuheshimiwa na Wanawake na sio kupendwa.
Mwanamke hajui kupenda, hapendi.

Na ukishakuwa na kipato Cha kutosha utakuwa na shauku mke kuwa nyumbani akikupikia, akifua, akiwalea watoto ambao ndio unajua ni waendelezaji wa jina lako na Mali.

Mleta mada kuna tatizo linamsumbua.

Ndugu zangu tufanye kazi usiku mchana kuhakikisha tunakuwa na mapato ya ziada, hakikisha unaoa Mwanamke ambaye Yuko tayari kuongozwa na wewe.

Anachofanya mleta mada ni ubaguzi unaofaa kupingwa, kwamba Mwanamke asiye na ajira haifai kuolewa.

Vipi ukamuoa na mwaka wa 5 akapata shida itayomzuia kufanya kazi?

Ni muhimu kuwa na uwiano wa mawazo unapoongelea jambo kama hili.
 
Pia, nyongeza, ikiwa utaoa Mwanamke anayefanya kazi, kuna uwezekano mkubwa zaidi ya 80% mtatalikiana, la sivyo utatangulia kufa utamuacha, chunguza utaniambia.
 
Kuna ukweli but, Anaweza akawa si tegemezi kwako ila ana watu wanaomfanya asiwe tegemezi kwako. Umakini unahitajika.

Binafsi naona uombe usipate malaya na akupende, awe hana au anazo.
 
Kuna shida anayo mleta mada

1.Hana mifumo ya kumuingizia Hela ndio sababu anawaza mambo ya ajabuajabu hivi.
2.Amekata Tamaa ya maisha.
3.Anatawaliwa-anaongozwa na mke wake ama mpenzi aliyenaye.

Kimsingi Mwanaume mwenye kipato Cha kutosha hawezi kukubaliana na mleta mada, Kwa sababu sisi tumeumbwa kuheshimiwa na Wanawake na sio kupendwa.
Mwanamke hajui kupenda, hapendi.

Na ukishakuwa na kipato Cha kutosha utakuwa na shauku mke kuwa nyumbani akikupikia, akifua, akiwalea watoto ambao ndio unajua ni waendelezaji wa jina lako na Mali.

Mleta mada kuna tatizo linamsumbua.

Ndugu zangu tufanye kazi usiku mchana kuhakikisha tunakuwa na mapato ya ziada, hakikisha unaoa Mwanamke ambaye Yuko tayari kuongozwa na wewe.

Anachofanya mleta mada ni ubaguzi unaofaa kupingwa, kwamba Mwanamke asiye na ajira haifai kuolewa.

Vipi ukamuoa na mwaka wa 5 akapata shida itayomzuia kufanya kazi?

Ni muhimu kuwa na uwiano wa mawazo unapoongelea jambo kama hili.
Mkuu, ila wapo wanawake wana pesa na heshima. Namfahamu jamaa mmoja ni chalala mission town na mkewe ndo kila kitu linapokuja suala la pesa maana ni muajiriwa ila mke anamheshimu. Jamaa kamzalisha watoto wa kutosha si mvivu.
 
Mkuu, ila wapo wanawake wana pesa na heshima. Namfahamu jamaa mmoja ni chalala mission town na mkewe ndo kila kitu linapokuja suala la pesa maana ni muajiriwa ila mke anamheshimu. Jamaa kamzalisha watoto wa kutosha si mvivu.
Mkuu nakubaliana na wewe, wapo Wanawake wa aina hiyo.

Ila suala hili kuliweka kama kigezo Cha kuoa haifai.

Unajua sote tunaishi tayari tulishawekewa akili vichwani na Muumba, na daima Iko hivyo Mwanaume anoa Mwanamke aliyemchagua-aliyempenda, haijalishi anafanya kazi au la.

Ndio nikasema Mwanaume anaoa Mwanamke aliye tayari kuongozwa naye...
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hatujakataaa mabusu hayalipi bill na mie hela zangu ziliwe na mwanamke ambaye najua ana hela zake even though sitegemei hela zake.

Wee tafuta hela zako usiwe broke yaani kujipelekea rotana kwenda sauz with ur own money isiwe shifa.
Sasa mie nikija khkudate nakwambia bby u have worked hard let daddy take care of u.

Sio wee demu ata kujipeleka ramada huwezi alafu nikudate....i am not doing that
😀dah!
 
Hawajajua sisi hatuombi kidogo kidogo, sijui mjomba kameza shoka, pesa ya saloon mara gesi imeisha..!!
Tunaomba utatue kitu ambacho kina uhalisia na lazima upoteane km nyani mjane 🤣😹😹
😀jaman kwann jaman eti nyani majane!
 
Mkuu nakubaliana na wewe, wapo Wanawake wa aina hiyo.

Ila suala hili kuliweka kama kigezo Cha kuoa haifai.

Unajua sote tunaishi tayari tulishawekewa akili vichwani na Muumba, na daima Iko hivyo Mwanaume anoa Mwanamke aliyemchagua-aliyempenda, haijalishi anafanya kazi au la.

Ndio nikasema Mwanaume anaoa Mwanamke aliye tayari kuongozwa naye...
Upo sahihi boss. Na mara nyingi mwanamke anataka kuongozwa, kutii, asipoongozwa na mumewe ataongozwa na bosi wake au mwanaume mwingine yoyote. So kama mwanaume huna control ya kiuongozi kwa mkeo jua kuna mtu anamuongoza.
 
Back
Top Bottom