IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
- Thread starter
-
- #241
Next time nimwendo wakutambaa hahahaaa 🤣🤣🤣 dah! Ila siku hizi sichezi mbali na nyumbani...Sawa Mkuu uko Sahihi
Next time jaribu tena.... Humalizi hata hatua Zaidi ya mbili
Heshimu watu na Kazi zao
Mambo siku hizi yamebadilika sana sio kama zamani.... Kula bia popote chukua totozi nzuriNext time nimwendo wakutambaa hahahaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah! Ila siku hizi sichezi mbali na nyumbani...
Huyo AlmightyGod na IamBrianLeeSnr ni jamaa zangu wa karibu sana 🤣🤣🤣 nawakubali sana 🤣🤣🤣usiniambie wewe ni @AlmightyGod 😃😃😃
Namna hiyo...mwendo wa kulamba asali..Mambo siku hizi yamebadilika sana sio kama zamani.... Kula bia popote chukua totozi nzuri
Ulinzi upo wa kutosha watu Wako kazini
sawa😂😂, wasalimie sana🤣🤣Huyo AlmightyGod na IamBrianLeeSnr ni jamaa zangu wa karibu sana 🤣🤣🤣 nawakubali sana 🤣🤣🤣
Inategemea kama unaona kuna nafasi ya kujitetea, Komaa na kuwa jasiri jitete tu...Watalaam wanasema ukivamiwa... yaani ukajikuta uko katika kumi na nane za wavamizi... kimsingi unapaswa kuwapa ushirikiano... don't fight back! Lazima wakuumize kama siyo kukuua....
Hamna shida kabisa.Namna hiyo...mwendo wa kulamba asali..
Mitano tena kwa bimkubwa sa100 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuzimia ? Unaweza ukashangaa chupi au boxer imejaa huaro ghafla na mkojo unakutiririka kwa fujo huku kijasho chembamba sana kinakutoka na mapigo ya moyo yanadunda km vigoma vya SingeliKitendo cha kuwaona tu hao jamaa akili inadata sasa uskie na shaba zimelia 🤣🤣🤣 unaweza ukazimia mapema tu!
Duh punguza matusi mkuuIpo siku wee choko
Unayumba sanaDuh punguza matusi mkuu
SawaUnayumba sana
Umeona hilo ndo kubwa Zaidi kufanya
Chai hii 🤣🤣🤣
Chai hii 🤣🤣🤣Sawa
Mpotezee mkuu, Acheni kuzozana kwa vitu vidogo sana...Watu wazima ninyi mkumbuke hilo...Umeona hilo ndo kubwa Zaidi kufanya