Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito

Alitumiwa na dingi yake baada ya kuuza mahindi hom
 
Tatizo watu wavivu kusoma na kufikiri
 
Twende mzeee,leta habari ,mradi tufurahi na kuburudika
Kama Jamaa ameishia mtini niindeleze mimi Wakuu, nianze na kipande cha kutoka pale Mnazi mmoja Lindi hadi Dar es salaam kisha Mlandizi jinsi safari ilivyokuwa ngumu na mateso ukizingatia nimepoteza namba ya rafiki wa baba pamoja na line
Nimecheka,na umri huu ungenikuta nafatilia ungecheka
Shikamoo mpwayungu village yaani unatufanya watu wazima tuache shughuli zetu kufatilia hadithi yako.
 
Watu wakorofi
 
Ebu acha vituko ewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…