Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko si ndo wanalima sana viazi chips? Ni balaa huko miezi ya 6_10Baridi ya hifadhini apana nilinyoosha mikono, nilisha wahi kukaaa kama mwaka, ujuni mmh
Labda saiz anafundisha physiNimegundua hii story huyu chief anapenda kuandika usk
Mkuu tuombe radhi sana wenye kabila letu.Wamwera wasikie tu.
Wachawi
Malaya
Roho mbaya
Alitumiwa na dingi yake baada ya kuuza mahindi hom[emoji3][emoji3]kwa namna jamaa anavyosimulia utadhani shetani na Mungu walikaa kikao kisha wakaafikiana shetani aendelee ila asimuue jamaa kama ilivyokuww kwa ayubu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
yaani unawezafanya jambo ukidhani unaweka yajayo sawa sekunde zijazo kumbe ndio unaharibu kabisa,mfano hapo kwenye kudai nauli.
sema mkuu mara ya mwisho uliishia umekabidhi elfu 5000 kwa boda umebaki na 5000 mfukoni,hujatwambia nani alikufadhili 25 baadae ambayo ulikuwa nayo wakati unakutana na majangiri.
Tatizo watu wavivu kusoma na kufikiriKwanini niiruke Kati ni moja ya tukio Zito halafu pesa nilitumiwa kwenye line yangu ndio maana aliponipa simu ndogo nilikaa nayo kwa mda ni kaweka line humo ndokuna namba nyingi za ndugu jamaa na marafiki niliokuwa nikiwapigia kuomba msaada, alipokuja makamu nikachomoa line yangu nikampa simu yake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna uzi humu bwana Mpuyungu village anasema anamtafuta rafiki yake walomaliza shule miaka ya 1992 ...sio chai kweli hii
Nimecheka,na umri huu ungenikuta nafatilia ungechekaKama Jamaa ameishia mtini niindeleze mimi Wakuu, nianze na kipande cha kutoka pale Mnazi mmoja Lindi hadi Dar es salaam kisha Mlandizi jinsi safari ilivyokuwa ngumu na mateso ukizingatia nimepoteza namba ya rafiki wa baba pamoja na line
Shikamoo mpwayungu village yaani unatufanya watu wazima tuache shughuli zetu kufatilia hadithi yako.
Watu wakorofiKama bahati tu, ilipofika saa 3 usiku kuna gari ya mizigo ilipita ,muda huo nikiwa nimekata tamaa ya kupata usafiri wakunifikisha sehemu Salama ukizingatia pale ni sehemu hatari sana, japo muda huo nilishakata kilometa kadhaa uelekeo wa Lindi
Kumbuka mpaka muda huo bado nilikuwa sijala chakula chochote ukiacha kile kipande cha nyama pori ambayo ilikuwa ni ngumu nilichokula usiku na wale majangili .
Konda wa hili gari alivyoshuka ili kuniuliza nahitaji kuenda wapi ghafla nikaona kama amesita wakati alipokuwa amesogea karibu na akawa anataka kurudi kwenye gari ,huenda hii ilitokana na jinsi muonekano wangu ulivyokuwa, labda aliniona kama kichaa au sijui ni mawazo gani yalimjia kichwani kwake juu yangu.....
NB wengine watamilizia
Ebu acha vituko ewe 😂😂😂😂Kama bahati tu, ilipofika saa 3 usiku kuna gari ya mizigo ilipita ,muda huo nikiwa nimekata tamaa ya kupata usafiri wakunifikisha sehemu Salama ukizingatia pale ni sehemu hatari sana, japo muda huo nilishakata kilometa kadhaa uelekeo wa Lindi
Kumbuka mpaka muda huo bado nilikuwa sijala chakula chochote ukiacha kile kipande cha nyama pori ambayo ilikuwa ni ngumu nilichokula usiku na wale majangili .
Konda wa hili gari alivyoshuka ili kuniuliza nahitaji kuenda wapi ghafla nikaona kama amesita wakati alipokuwa amesogea karibu na akawa anataka kurudi kwenye gari ,huenda hii ilitokana na jinsi muonekano wangu ulivyokuwa, labda aliniona kama kichaa au sijui ni mawazo gani yalimjia kichwani kwake juu yangu.....
NB wengine watamilizia