Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito


Hii chai, maeneo ya Stand, kibaka hawezi kuwa na ujasiri sijui wa kunificha chin ya gari kukungoja wewe usiye na hela, na vyeti vya nini.

Inawezekana ni kweli ila umeongeza uongo mwingi, sehemu hii ya Vibaka imeharibu uhalali wa andiko lako kwa 100%
 

Hii chai, maeneo ya Stand, kibaka hawezi kuwa na ujasiri sijui wa kunificha chin ya gari kukungoja wewe usiye na hela, na vyeti vya nini.

Inawezekana ni kweli ila umeongeza uongo mwingi, sehemu hii ya Vibaka imeharibu uhalali wa andiko lako kwa 100
 
Elimu ya tanzania sio kwa ajili ya kututoa ujinga n kwa ajili ya kupata cheti,form six leaver unaandika prutable??

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hii chai, maeneo ya Stand, kibaka hawezi kuwa na ujasiri sijui wa kunificha chin ya gari kukungoja wewe usiye na hela, na vyeti vya nini.

Inawezekana ni kweli ila umeongeza uongo mwingi, sehemu hii ya Vibaka imeharibu uhalali wa andiko lako kwa 100%
Mkuu wewe soma tu kama burudani ila hii hadithi haina ukweli wowote japo mtunzi amejaribu kuihusisha na uhalisia
 
Umeshawahi iona stend ya kilwa masoko?. Ile stend inalaza bus moja tu la MASHALAH na hakuna bus lolote la Dar to kilwa zaidi ya hilo kwahiyo ikifika saa sita hakuna mtu hata mmoja zaidi ya wahuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…