Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Mimi nilimuachia demu simu ya laki nne na pesa nilizomkopesha kwenye biashara yake, tulizinguana nikampa vitasa vya kutosha. Akaniitia mwizi watu walivyokuja wananifahamu wakapotezea wakasema tumalizane wenyewe, Sasa hapa nilipiga Kama bruce lee vile maana alikuwa anataka nife. Baada ya hapo alilazwa week hospital. Kwahiyo hata vitu nilivyompa nikaona bora nimwachie maana nilimpa kipigo heavyweight asee.
Hv wakiita mwizi cjui huwa wanawazaga nn?
 
Umempigia nini wakati hata hujamfumania, umemkuta kavaa khanga tuu...

Na hata ungemfumania nyuchi sii ni yake, ana maamuzi nayo mwenyewe...
 
Mwanaume kupigana na mwanamke ni kujidharau na kujidhalilisha
 
Pole kijana hawa viumbe wanatuibia sana yani basi tu... nivile tu, wanaume tuliumbwa kuvumilia na kutokusema hovyo yanayo tusibu,

kila mtu angeliamua kusimulia mizinga ya hao mademu list ingelikuwa kubwa sana.

Pasingelitosha hapa. Yaani ni wezi pro max babaakee....[emoji1787][emoji1787]
 
Pole kijana hawa viumbe wanatuibia sana yani basi tu... nivile tu, wanaume tuliumbwa kuvumilia na kutokusema hovyo yanayo tusibu,

kila mtu angeliamua kusimulia mizinga ya hao mademu list ingelikuwa kubwa sana.

Pasingelitosha hapa. Yaani ni wezi pro max babaakee....[emoji1787][emoji1787]
Afu mbaya zaid anakupiga panga waz waz na anataka utulie usiongee kitu
 
Mwanaume kupigana na mwanamke ni kujidharau na kujidhalilisha
Sasa km kakufanyia uduwanzi unafanyaje pesa umetuma na kuonyesha ww bwege tu io pesa anampikia kidume mwengine
 
Mimi nimekuelewa the issue hapo sio kibunda ni iyo style ya msichana ndo mbaya... Tuma uje kula then usije naenda om!!!!![emoji3][emoji3][emoji3] kuna siku natoka mitaa flani napita njiani kuna hospital ipo barabarani nikaona mdada kabeba mtoto nikiona ivyo lazima niguswe kutoa lift nikamwambia panda unaenda wapi mjini....

Safari njiani akaniambia unaonekana una roho nzuri maana sio wote wanaweza kuruhusu kupanda magari yao....!!! Nikachukulia poa asante nikamuuliza unashuka wapi, akajibu nipeleke pale nataka nikanunue dawa za mtoto ila pesa niko nayo naisi haitoshi....!! Naomba kama hutojali niongezee mwezi huu mwishoni nakurudishia akaomba elfu30 nikampa akanipa namba nikaondoka, badae alituma sms ya kunishukuru lakini ahadi yake ni mwisho wa mwezi alipe......

Sasa mwisho wa mwezi kufika sikudai wala hakunicheki, baada ya week akanza kujielezea sana kwangu mambo yake na mume wake... Kitu ambacho sikuona ni sahihi nikamwambia vipi pesa ile umepata..? Sikujibiwa nikala block kona zote za simu.... Kwaiyo kinamna fulani ulivyogawa kipigo unaweza kuwa sahihi sisi wanaume tunazulumiwa sana sa nyingine wema wetu unatuponza ila ndo kweli hatulalamiki tunakausha
 
Mimi nimekuelewa the issue hapo sio kibunda ni iyo style ya msichana ndo mbaya... Tuma uje kula then usije naenda om!!!!![emoji3][emoji3][emoji3]

Nashukuru kwa mchango wako kuna kipindi inabidi tu uwashe moto maana ukikaa kimya wnakuona mjinga
 
Hii thread inachekesha sana.....
Naona uliamua kumpa kichapo cha kuchakaza 😂😂😂😂😂
 
Mambo
Kwa kawaida kwenye jamii wanawake ni viumbe tunaowachukulia lege lege sana hii ni kutokana na tabia zao kupenda kujiremba, kutembea kwa malingo, kula mi chipsi nk sasa basi iaiombe itokee ukorofishane na hawa viumbe mfikie hatua muamue kupigana aisee usijidanganye kazi inaweza
Mambo ya Green house KEKO hayo
 
Wanaume msio na hela mnatabia chafu Sana, Yani 10000 ulitaka kuua, endelea na wahuni wenzako, ningekuwa Mimi unanipiga ningekuitia mwizi
Hapa nadhan zile hisia kwamba mwanamke anaenda kula chakula nà mwanaume badala ya mtoa mada, ndio zlipelekea hadi kupigana.

Kejeli au dharau, zinauma sana.
Hebu sema vizuri ni elfu 10 au laki 1?

elf 10 kweli ndo ya kwenda kupigana[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]
 
Wanaume msio na hela mnatabia chafu Sana, Yani 10000 ulitaka kuua, endelea na wahuni wenzako, ningekuwa Mimi unanipiga ningekuitia mwizi
Kumbe ndo zenuu aisee hata Kama Nina helaa utatema zitee ita mwizi fanya yotee utakipaaa, yaani unidanganyee Mimi hata Kama Niko benki utazitemaaaa[emoji3525][emoji3525][emoji36][emoji36] Kama hutaki SEMA hapana sitaki kuliko kuweka taamaa mbele alafu hutoii.
 
Back
Top Bottom