Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wana MAKUCHA aisee usiombe ukikaa kindaz ndaz utajikuta ushapigwa kucha sehemu kadhaa midamu iouzidiwe nguvu na ke? hebu acha utani mkuu
Yaan umewaza kama mm..ningeita mwizi angejuta kunijua, ananipiga kama nani? Wanaume njaa wana tabia mbaya sana.Wanaume msio na hela mnatabia chafu Sana, Yani 10000 ulitaka kuua, endelea na wahuni wenzako, ningekuwa Mimi unanipiga ningekuitia mwizi
Usije shangaa unapokea kichapo cha mwizi wewe maana watu wakija gundue sio mwizi ni ugomvi tu wa kimapenz hakiyanani sijui nini kitatokea vitu vengine muwe mnatumia akili mm ukiniitia mwiz sikimbii wala nn nasimama apo apo watu wakija nawaelezea ilivyokuwaYaan umewaza kama mm..ningeita mwizi angejuta kunijua, ananipiga kama nani? Wanaume njaa wana tabia mbaya sana.
kwanza unasumbuliwa na utoto elfu10 ndo unakuchulia mda kwenda kupiganawana MAKUCHA aisee usiombe ukikaa kindaz ndaz utajikuta ushapigwa kucha sehemu kadhaa midamu io
Ulishahongwa nyumba mkuu?Huyu atajaenda jela kwa kosa la kijinga, wenzake wanahonga Hadi nyumba yeye buku kumi anapigana kabisa
kabisa...Yaaani...unakuja kusema umepigana na Ke ...kisa eti elfu kumi.....umasikini na ukuandame maisha yako yote.
kwanza unasumbuliwa na utoto elfu10 ndo unakuchulia mda kwenda kupigana
Wewe hujiamini una roho mbaya jifunze kutoa hyo hela ndogo Sana kufanya fujokilichoniuma sio hela wadau kilichoniuma ni kunidanganya pia ela yangu kupikiwa mwanaume mwingine
Lakini hukumkuta mwanaume kule kwake.kilichoniuma sio ela kilichoniuma ni ela yangu kupikiwa msosi mwanaume mwingine
Vipi uli mkuta na mwanaumee auKwa kawaida kwenye jamii wanawake ni viumbe tunaowachukulia lege lege sana hii ni kutokana na tabia zao kupenda kujiremba,kutembea kwa malingo,kula mi chipsi nk sasa basi iaiombe itokee ukorofishane na hawa viumbe mfikie hatua muamue kupigana aisee usijidanganye kazi inaweza kuwa rahis hawa viumbe wana nguvu na wakikasirika wanakuwa km mashetan yaan unaweza kumkunja mkono ili umtulize mwenzako akageuka fasta bila kuhofia km mkono utavunjika
Ngoja nikupe stori baba iko hv mwaka fulan nilikuwa na mahusiano na dada fulan ambae aliniambia anasoma kampala internationa l university sasa bas baada ya kukaa nae kwa kipindj km miez mitano hv ya mahusiano kuna siku nilimwambia nataka niende kwake nikalale akaniambia nimtumie ela ya kupika chakula ili nikija tukitumie iko chakula lkn baada ya kutuma alibadilika na kuanza kuniambia yupo period ivo niaiende maana sito enjoy niende siku nyingine atakayomaliza period nikamwambia mm nakuja ivo ivo lkn hatutosex akakataa akasema hapana nisiende kwan asijikii vzr ivo anatoka hostel anaenda nyumban iliniuma sn kwan nilihis kudhulumiwa baada ya kuwaadithia masela wakaniambia uyo mwanamke ni muongo na iyo pesa uliomtumia chakula atakuwa kampikia mwanaume mwingine na ndio upo nae uko kwake nilipata hasira sana nikainuka nikachukua pikipiki nikaenda mpaka hostel ilikuwa saa 1 usiku ile kufika tu nikakutana nae mlangoni kavaa kanga nilipotaka kufungua mlango niingie ndan alinisukuma na app ndio ngumi zikaanza mata ya kwanza niliamin ningeweza kumdhibiti kirahis lkn timbili halikuwa dogo demu alikuwa na nguvu balaa ikabid nianze kufanya km napigana na mwanaume na sikutake tena easy nilimpa ngumi kadhaa za tumbo aiaee mademu wana matumbo malaini nikamtia lock ya mkono nikampa bapa la mgongo kisha nikamtia ngumi ya kichwa kwa bahati mbaya ikagonga au nzur ikagonga rasta kisha nikamgeuza nikamvuta km nataka kucheza nae bluez nikampiga kichwa cha utosi akanikunja shati yangu akaichana nikataka niichane kanga yke ila akili ikanijia Asije akanisingizia nataka kumbaka na uku uswahilin wanawake wanadhaminiwa kuliko ata kitimoto ikibad nimsukume nikamwambia nipe vi1tu nilivokupa niondoke alileta ngumu lkn alipoona nimemkazia ikabid atoe alitoe alitoa simu yngu niliompa akanipa na ile 10000 niliomtumia pamoja na nguo zangu zilizokuwa zipo kwake nikasepa
Ebu nawe tuadiaie aiku uliotwangana makonde na demu ilikuwaje
Ndio Niko kwenye process, Kama hamna hela acheni kufata wanawake maana mtaishia jela
Mimi ningeita mwizi Sasa na angekuwa zake kuzimu, wanaume wasio na hela sio wa kudate nao Wana matatizo mengi, stress, na ukichaa juu, insecurities zao, wanaweza kukudhuruYaan umewaza kama mm..ningeita mwizi angejuta kunijua, ananipiga kama nani? Wanaume njaa wana tabia mbaya sana.
Sasa kwann mnakuwa waongo mtu unasema umpe pesa apike ukija mle kisha anakugeuka anachokua ioio pesa anaenda mpikia mtu mwingine ww unahisi ni haki kabisa kilichoniuma pale sio pesa kilichoniuma ni UONGO na pia pesa yangu kipikiwa mwanaume mwingine nikaona isiwe kesi ngoja nikavamie mm sikuwa na lengo la kupigana ila yeye ndio alianzisha mtiti baada ya kunizuia nisiingie ndani ndio ngumi zikaanzia apo
Afu kwa kukudokeza tu mwishoni kipindi ugomvi unamalizika aliniambia NIONDOKE LA SIVYO ATANIITIA MWIZI kumbe ndio tabia zenu wanawake ukigombana na waume zenu mnawaitia mwizi maana kuna siku nyingine pia kuna bidada fulani hv tuligombana akaniambia ivoivo ATANIITIA MWIZI nikamjibu ita MWIZI uone utakufa ww maana UGOMVI wetu majiran walikuwa wanausikia na wanajua waz kwamba mm sio mwizi bali tumekorofishana ALIUFYATA
DAWA YA MOTO NI MOTO
Au labda tukio lilikua miaka ya 70 elfu kumi ilikua kubwa π€£hebu sema vizuri ni elfu 10 au laki 1?
elf 10 kweli ndo ya kwenda kupigana[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]
Kama hawana hela na ni wachafu si muwe mnawakataa, yeye kama alijua hataki kuonana na jamaa si angemwambia tu asitume. Yani ushakula ten la msela alafu unaleta drama?Wanaume msio na hela mnatabia chafu Sana, Yani 10000 ulitaka kuua, endelea na wahuni wenzako, ningekuwa Mimi unanipiga ningekuitia mwizi