Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Tena anasema amepigana...hapo amepigana au AMEMPIGA...elfu kumi yako na story zako zakuambiwa ndo ukapige mtu... LOOOH ptuuuu
Hii ndio sababu na sisi wanaume tumekuwa makatili sana yaani wanawake sasa hv kututapeli mmeona kawaida na km sijakwambia alinikwangua na MAKUCHA yake dah sitaki ata kukumbuka
 
Hao ni wapigaji tu akimpata zoba amdhulumu pesa ikizid sana laki mademu wanaohongwa nyumba sio hawa vindakindaki ni wale waliotulia na wana kaz zao yaani wanakuteka mpaka mwenyewe unanunua mjengo lkn hao hamna kitu unaanze kumuhonga deemu nyumba ambae ata kwenye akaunti yake ata million 7 hana

MWENYE NACHO ATAONGEZEWA
Mkuu unataka kwenda jela kisa buku kumi aibu sana
 
Unajua fahari gani kudumbukiziwa mabomba ya huyu na yule kwenye shimo lako? Huoni kinyaa? Hivi ni ugumu wa maisha ama ni tabia mlivokuzwa? Nyaaaaa
Na nyie hamuoni aibu ku chovya chovya hovyo?
Hafu ujue Ile Ni starehe na sio aibu ka unavofikiria
 
Kama hawana hela na ni wachafu si muwe mnawakataa, yeye kama alijua hataki kuonana na jamaa si angemwambia tu asitume. Yani ushakula ten la msela alafu unaleta drama?
Hatuwakatai tuna Chuna kwa kwenda mbele
 
Huyu mtu ulijuaje kama ni mwanamme na ukajiaminisha zaidi kuwa ni mpenzi wake kapikiwa chakula kwa hela yako uliyomtumia mpenzi wako.....

Kwema lakini mkuu
kwema bro iko hv niligundua ni mwanaume ndio alikuwa ndan kwa sababu kipindi ananikabidhi vitu vyangu hakutaka kabisa niingie ndan pia baada ya kumpora simu yangu ambayo nilimpa nilikuta sms za huyo jamaa tena nikagundua km tulikuwa tupo wengi sana pale mbaya zaid kuna laptop nilimuazima atumie nayo alisahau ku logout facebook yake uko ndio machozi yalinitoka hasa ukizingatia nilikuwa bado mgeni kwenye mapenz
 
Siungekula chakula ukaondoka🤣🤣 maake ulitoa hela ya chakula.
 
Huwezi kuja hostel kupigana na demu wanachuo tukakuacha hata uwe baunsa kiasi gani. Pia huwezi kuwa stranger tena mgumu wa kuhonga 10k kisha ukalala hostel, hiyo hostel ulienda kulala ama kukaa lakini huwezi ingia. Haijalishi ni Kampala au Ardhi.
Labda useme ulienda ghetto kwake
 
Nimecheka hadi nimepaliwa walai, sina mbavu,
I'm sorry to say this, ulichokisimulia eti umemfanyia huyo manzi ni vice versa yaan wewe ndie ulikula hivyo vitasa ndio maana hata ulipodai vitu vyako manzi akakupa sababu alikua ameshakukomesha na kukuchakaza,
Aisee pole sana ila nimechekaaa.
 
kwema bro iko hv niligundua ni mwanaume ndio alikuwa ndan kwa sababu kipindi ananikabidhi vitu vyangu hakutaka kabisa niingie ndan pia baada ya kumpora simu yangu ambayo nilimpa nilikuta sms za huyo jamaa tena nikagundua km tulikuwa tupo wengi sana pale mbaya zaid kuna laptop nilimuazima atumie nayo alisahau ku logout facebook yake uko ndio machozi yalinitoka hasa ukizingatia nilikuwa bado mgeni kwenye mapenz
Wakati munapigana jamaa alikuwa anawasikilizia/anaona mpenzi wake anapigwa kweli?

Hakutaka kuwaamua

Pole sana mkuu
 
hakunipa vitasa bwana mkubwa zaid alinikwangua na makucha
Angekukwangua na makucha usingeileta hii mada hapa ati mmetwangana makonde, ni wazi alikuchakaza style ya Van Dame mixer Bruce lee, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa wakati mnapigana huyo aliyekuwa anapikiwa hakutoka kuangalia kulikoni...hakuna hata jirani aliyetoka?
kumbuka demu alifunga mlango na pia ile nyumba kwa jinsi ilivyojengwa inakona nying ilikuwa ni hostel saa 1 usiku mademu wengi wanakuwa wameenda makwao na wengine wapo kwenye kumbi mbali mbali tukio lilifanyika kwa kasi sn tofaut na unavyosoma liligharimu km dk 10 lkn lilikuwa ni kashikashi la kufa mtu
 
kumbuka demu alifunga mlango na pia ile nyumba kwa jinsi ilivyojengwa inakona nying ilikuwa ni hostel saa 1 usiku mademu wengi wanakuwa wameenda makwao na wengine wapo kwenye kumbi mbali mbali tukio lilifanyika kwa kasi sn tofaut na unavyosoma liligharimu km dk 10 lkn lilikuwa ni kashikashi la kufa mtu
Sasa mbona ulimnyanganya simu...ungepotezea tu ukasubiri na wewe zamu yako
 
Angekukwangua na makucha usingeileta hii mada hapa ati mmetwangana makonde, ni wazi alikuchakaza style ya Van Dame mixer Bruce lee, [emoji23][emoji23][emoji23]
😄😄😄😄 hahahaaa alijitahid sn lkn mwanaume ni mwanaume tu round za mwanzo alionekana km anajua ila nilipomkazia alichemka
 
Sasa mbona ulimnyanganya simu...ungepotezea tu ukasubiri na wewe zamu yako
Ni kweli ilo nilijua wazi tu lazima kuna siku ningeenda kwake km kawaida na nilishalala kwake mara kibao tu japo nilishahisi toka awali kuwa anacheat japo sikutaka kufuatilia ila hakuna kitu kinauma km utendwe uku unajua waz kwamba demu wako yuko sehemu anapokea mkwaju tena pes zako zikitumika unaweza ukaua kusubiri zamu yako ni UFALA
 
Kwa kawaida kwenye jamii wanawake ni viumbe tunaowachukulia lege lege sana hii ni kutokana na tabia zao kupenda kujiremba,kutembea kwa malingo,kula mi chipsi nk sasa basi iaiombe itokee ukorofishane na hawa viumbe mfikie hatua muamue kupigana aisee usijidanganye kazi inaweza kuwa rahis hawa viumbe wana nguvu na wakikasirika wanakuwa km mashetan yaan unaweza kumkunja mkono ili umtulize mwenzako akageuka fasta bila kuhofia km mkono utavunjika

Ngoja nikupe stori baba iko hv mwaka fulan nilikuwa na mahusiano na dada fulan ambae aliniambia anasoma kampala internationa l university sasa bas baada ya kukaa nae kwa kipindj km miez mitano hv ya mahusiano kuna siku nilimwambia nataka niende kwake nikalale akaniambia nimtumie ela ya kupika chakula ili nikija tukitumie iko chakula lkn baada ya kutuma alibadilika na kuanza kuniambia yupo period ivo niaiende maana sito enjoy niende siku nyingine atakayomaliza period nikamwambia mm nakuja ivo ivo lkn hatutosex akakataa akasema hapana nisiende kwan asijikii vzr ivo anatoka hostel anaenda nyumban iliniuma sn kwan nilihis kudhulumiwa baada ya kuwaadithia masela wakaniambia uyo mwanamke ni muongo na iyo pesa uliomtumia chakula atakuwa kampikia mwanaume mwingine na ndio upo nae uko kwake nilipata hasira sana nikainuka nikachukua pikipiki nikaenda mpaka hostel ilikuwa saa 1 usiku ile kufika tu nikakutana nae mlangoni kavaa kanga nilipotaka kufungua mlango niingie ndan alinisukuma na app ndio ngumi zikaanza mata ya kwanza niliamin ningeweza kumdhibiti kirahis lkn timbili halikuwa dogo demu alikuwa na nguvu balaa ikabid nianze kufanya km napigana na mwanaume na sikutake tena easy nilimpa ngumi kadhaa za tumbo aiaee mademu wana matumbo malaini nikamtia lock ya mkono nikampa bapa la mgongo kisha nikamtia ngumi ya kichwa kwa bahati mbaya ikagonga au nzur ikagonga rasta kisha nikamgeuza nikamvuta km nataka kucheza nae bluez nikampiga kichwa cha utosi akanikunja shati yangu akaichana nikataka niichane kanga yke ila akili ikanijia Asije akanisingizia nataka kumbaka na uku uswahilin wanawake wanadhaminiwa kuliko ata kitimoto ikibad nimsukume nikamwambia nipe vi1tu nilivokupa niondoke alileta ngumu lkn alipoona nimemkazia ikabid atoe alitoe alitoa simu yngu niliompa akanipa na ile 10000 niliomtumia pamoja na nguo zangu zilizokuwa zipo kwake nikasepa

Ebu nawe tuadiaie aiku uliotwangana makonde na demu ilikuwaje
Ulivyoandika ni kama vile bado yupo hapo anakutandika makonde
 
kwema bro iko hv niligundua ni mwanaume ndio alikuwa ndan kwa sababu kipindi ananikabidhi vitu vyangu hakutaka kabisa niingie ndan pia baada ya kumpora simu yangu ambayo nilimpa nilikuta sms za huyo jamaa tena nikagundua km tulikuwa tupo wengi sana pale mbaya zaid kuna laptop nilimuazima atumie nayo alisahau ku logout facebook yake uko ndio machozi yalinitoka hasa ukizingatia nilikuwa bado mgeni kwenye mapenz
Kumbe ulikuwa mgeni kwenye mapenzi? Ndiyo maana elf 10 ilikuuma sana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole sana, ndiyo changamoto kama kujikwaa kidole cha mguu
 
Back
Top Bottom