Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Mimi ningeita mwizi Sasa na angekuwa zake kuzimu, wanaume wasio na hela sio wa kudate nao Wana matatizo mengi, stress, na ukichaa juu, insecurities zao, wanaweza kukudhuru

Unajua fahari gani kudumbukiziwa mabomba ya huyu na yule kwenye shimo lako? Huoni kinyaa? Hivi ni ugumu wa maisha ama ni tabia mlivokuzwa? Nyaaaaa
 
Kojoleo lako unaona raha sana kudumbukiziwa shahawa za huyu na yule. Uchafu wa Juma na Frank. Huoni kinyaa? Mtadundwa sana. Mpaka mkome!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]....Wewe Unashida mahala...matatizo yako na masikitiko yako ma huzuni zako, hasira zako na Kutendwa kwako...na frastrations za maisha TAFUTA PA KUPELEKA...
 
kilichoniuma sio hela wadau kilichoniuma ni kunidanganya pia ela yangu kupikiwa mwanaume mwingine
Ulijuaje kama hela yako alitumika kupikiwa chakula mwanaume mwingine?

Maana hujaeleza ulivyofika ulimkuta na mwanaume ndani?
 
Kweli maisha magumu sana yaani elfu kumi umepiga mwanamke tena kwa kumpandia na boda boda 😂😂😂😂😂😂 wee mwanaume sio bahili tu bali una roho ya mkunjo balaa 😂😂😂😂😂😂duh ! 🙆🏾🙆🏾🙆🏾 Yaani elfu kumi
 
Kweli maisha magumu sana yaani elfu kumi umepiga mwanamke tena kwa kumpandia na boda boda 😂😂😂😂😂😂 wee mwanaume sio bahili tu bali una roho ya mkunjo balaa 😂😂😂😂😂😂duh ! 🙆🏾🙆🏾🙆🏾 Yaani elfu kumi

Unadhani pesa watu wanazinya? Pesa hata iwe ndogo vipi, inatafutwa. Jasho la mtu limetoka.

Mnaona fahari gani kumwagiwa shahawa za Jose na Fujo kwenye mashimo yenu!!!
Mna njaa sana? Shida nini?
 
Wanaume msio na hela mnatabia chafu Sana, Yani 10000 ulitaka kuua, endelea na wahuni wenzako, ningekuwa Mimi unanipiga ningekuitia mwizi
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi huu ujasiri wa kwenda kula kwa mwanamke mnautoa wapi? Atakama unatuma hela, acheni upuuzi basi
fafanua mzee usituache njia panda kwan kwenda kula kwa mwanamke tatizo lipo wapi ? au anaweza kukufanya nn kibaya ?
 
Utakuwa mwanaume wa dar wewe, tena mtoto wa mama, elf 10 hela ya vocha hiyo, huyo binti mstaarabu sana, usidhubutu tena utakuja fia mtaroni ungeitiwa mwizi je! Mie ningekwambia chagua moja kula kipigo cha kuitwa mwizi au kuondoka hapo!
 
Aseme tuu hata kikubwa ambacho ameshawahi kuhongwa..
Hao ni wapigaji tu akimpata zoba amdhulumu pesa ikizid sana laki mademu wanaohongwa nyumba sio hawa vindakindaki ni wale waliotulia na wana kaz zao yaani wanakuteka mpaka mwenyewe unanunua mjengo lkn hao hamna kitu unaanze kumuhonga deemu nyumba ambae ata kwenye akaunti yake ata million 7 hana

MWENYE NACHO ATAONGEZEWA
 
Itakuwa una tatizo mahali mzee...!! Yani mara mbili zote unagombana na wanawakee...
Hawezi kupanga ngumi na wanaume wenzie, itakuwa ni zile ngumi za kupangia mgongoni [emoji23][emoji23][emoji23], maana wanawake hukimbilia kupiga kifuani haaa haaaa!
 
kilichoniuma sio ela kilichoniuma ni ela yangu kupikiwa msosi mwanaume mwingine
Sasa wakati mnapigana huyo aliyekuwa anapikiwa hakutoka kuangalia kulikoni...hakuna hata jirani aliyetoka?
 
Ulijuaje kama hela yako alitumika kupikiwa chakula mwanaume mwingine?

Maana hujaeleza ulivyofika ulimkuta na mwanaume ndani?
Niligundua ndan kuna mtu maana aligoma nisiingie ndan akalock mlango na funguo kisha mtiti ukaendelea nje lakin kipind anafunga mlango japo alifunga kwa kasi lakini niligundua ndan kulikuwa na mtu
 
Niligundua ndan kuna mtu maana aligoma nisiingie ndan akalock mlango na funguo kisha mtiti ukaendelea nje lakin kipind anafunga mlango japo alifunga kwa kasi lakini niligundua ndan kulikuwa na mtu
Huyu mtu ulijuaje kama ni mwanamme na ukajiaminisha zaidi kuwa ni mpenzi wake kapikiwa chakula kwa hela yako uliyomtumia mpenzi wako.....

Kwema lakini mkuu
 
Yaani nije nidumbukize mboo yangu kwenye shimo lenye mabaki ya shahawa ya mwanaume wengine na bado nikuchekee?

Una akili TIMAMU?
Utatumbukiza tu Sana Cha peke yako kaburi mengine yote Ni mwendo wa kushare tu hamna namna. Na ukijifanya kijogoo unaenda kunyooka segerea huko papuchi huioni Hadi unazeeka
 
Back
Top Bottom