Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

Angekukwangua na makucha usingeileta hii mada hapa ati mmetwangana makonde, ni wazi alikuchakaza style ya Van Dame mixer Bruce lee, [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23] kala vitasa anaona aibu kusema tu
 
demu alifunga mlango
Alivyofungua kukupa vitu vyako jamaa hakupita na wewe kweli?

Itakuwa humupiga vizuri demu kama alipata nguvu za kusimama na kwenda kukuletea vitu vyako ndani

Hakuvuja damu wala kuvimba popote siyo...

Ngumi zako hazikuwa na uzito wa kiume
 
  • Thanks
Reactions: amu
Huwezi kuja hostel kupigana na demu wanachuo tukakuacha hata uwe baunsa kiasi gani. Pia huwezi kuwa stranger tena mgumu wa kuhonga 10k kisha ukalala hostel, hiyo hostel ulienda kulala ama kukaa lakini huwezi ingia. Haijalishi ni Kampala au Ardhi.
Labda useme ulienda ghetto kwake
Ni nyumba ya mtu ila wamepangisha wanafunzi tu afu kwa kukudokeza tu yule dada ni malaya iko hv kipindi cha nyuma nilishaenda kulala pale mara kadhaa lkn ukifika wale wadada wengine chumba cha pili utasikia wanacheka achilia mbali ilo pia kuna siku tupo ndan kuna mtu aligonga mlangoni aligoma kufungua
 
Alivyofungua kukupa vitu vyako jamaa hakupita na wewe kweli?

Itakuwa humupiga vizuri demu kama alipata nguvu za kusimama na kwenda kukuletea vitu vyako ndani

Hakuvuja damu wala kuvimba popote siyo...

Ngumi zako hazikuwa na uzito wa kiume
Alivimba haikuwa kesi ndogo soo lilifika mpaka mtaan ugomvi haukuishia hapo uliendelea ila nimefupisha stori
 
Ni nyumba ya mtu ila wamepangisha wanafunzi tu afu kwa kukudokeza tu yule dada ni malaya iko hv kipindi cha nyuma nilishaenda kulala pale mara kadhaa lkn ukifika wale wadada wengine chumba cha pili utasikia wanacheka achilia mbali ilo pia kuna siku tupo ndan kuna mtu aligonga mlangoni aligoma kufungua
Hapo sawa maana Kampala wana nyumba za nje nyingi sijui nazo wanaita hostel za nje au ni za kupanga za kawaida. Kuna jamaa kaenda uko jana alipomaliza UE. Anarudi wiki ijayo
 
Alivimba haikuwa kesi ndogo soo lilifika mpaka mtaan ugomvi haukuishia hapo uliendelea ila nimefupisha stori
ikabid nianze kufanya km napigana na mwanaume na sikutake tena easy nilimpa ngumi kadhaa za tumbo aiaee mademu wana matumbo malaini nikamtia lock ya mkono nikampa bapa la mgongo kisha nikamtia ngumi ya kichwa kwa bahati mbaya ikagonga au nzur ikagonga rasta kisha nikamgeuza nikamvuta km nataka kucheza nae bluez nikampiga kichwa cha utosi akanikunja shati yangu akaichana nikataka niichane kanga yke

Kwa haya[emoji3516]maelezo yako sidhani kama ni ya kweli mkuu

Mgumi ya mwanaume aliyekomaa na kusumbuliwa kutuma na ya kutolea kweli arushe ngumi kwa mwanamke tumboni kwake na ampige kichwa cha kiume sidhani kama angebaki mtu hapo

Anyway!!nisikuchambue na kukuuliza sana mkuu
 
  • Thanks
Reactions: amu
Nakumbuka niliondoka kijijini kwetu kwenda mjini kusoma tuition likizo ya mwezi wa sita kipindi hicho niko kidato cha nne. Nilikaa mjini muda wa mwezi mzima. Ile siku narudi niko njiani kwa miguu mida ya jioni nilikutana na manzi nilikuwa namzimikia balaa. Akiwa bado mbali nilijiapiza siku hiyo lazima kieleweke maana nilishamfatilia hapo kabla lakini holaa! Tulipokutana nikamuomba asimame! Hakutaka, ikabidi nimlazimishe kusimama. Manzi alipandisha mori, mwanzo nilijua masihara, alinikwida akanirushia konde moja hapo ndo akili ilinikaa sawa. Ikabidi nijitetee. Nilimpa konde moja imeshiba, ilitua usawa wa kifua juu kidogo ya matiti, Dogo alienda chini bila kupenda pamoja na kuwa alikuwa ameshachana shati langu nikabakiwa na singred tu. Zilifuatia lawama kwenye familia japo baadae yaliisha.
 
Mkuu Nyinyi Ndio Mnafanya Bange ipigwe Marufuku[emoji377][emoji377][emoji377]
 
Nakumbuka niliondoka kijijini kwetu kwenda mjini kusoma tuition likizo ya mwezi wa sita kipindi hicho niko kidato cha nne. Nilikaa mjini muda wa mwezi mzima. Ile siku narudi niko njiani kwa miguu mida ya jioni nilikutana na manzi nilikuwa namzimikia balaa. Akiwa bado mbali nilijiapiza siku hiyo lazima kieleweke maana nilishamfatilia hapo kabla lakini holaa! Tulipokutana nikamuomba asimame! Hakutaka, ikabidi nimlazimishe kusimama. Manzi alipandisha mori, mwanzo nilijua masihara, alinikwida akanirushia konde moja hapo ndo akili ilinikaa sawa. Ikabidi nijitetee. Nilimpa konde moja imeshiba, ilitua usawa wa kifua juu kidogo ya matiti, Dogo alienda chini bila kupenda pamoja na kuwa alikuwa ameshachana shati langu nikabakiwa na singred tu. Zilifuatia lawama kwenye familia japo baadae yaliisha.
ww utakuja kuua bule mwanamke apigwi kifuani akikuudh we mpige kwenye tumbo sasa kama anatoa tigo usiombe lazima atoe MISHUZI ngumi moja SHUZI moja matata
 
Kumbe ulikuwa mgeni kwenye mapenzi? Ndiyo maana elf 10 ilikuuma sana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole sana, ndiyo changamoto kama kujikwaa kidole cha mguu
nyinyi ndo wale wale wapigaji tu !!! hata aibu hamuoni hv kwann mpo hivi
 
ikabid nianze kufanya km napigana na mwanaume na sikutake tena easy nilimpa ngumi kadhaa za tumbo aiaee mademu wana matumbo malaini nikamtia lock ya mkono nikampa bapa la mgongo kisha nikamtia ngumi ya kichwa kwa bahati mbaya ikagonga au nzur ikagonga rasta kisha nikamgeuza nikamvuta km nataka kucheza nae bluez nikampiga kichwa cha utosi akanikunja shati yangu akaichana nikataka niichane kanga yke

Kwa haya[emoji3516]maelezo yako sidhani kama ni ya kweli mkuu

Mgumi ya mwanaume aliyekomaa na kusumbuliwa kutuma na ya kutolea kweli arushe ngumi kwa mwanamke tumboni kwake na ampige kichwa cha kiume sidhani kama angebaki mtu hapo

Anyway!!nisikuchambue na kukuuliza sana mkuu
Sikia ata uwe na roho mbaya kiasi gan huwezi kumtwanga mwanamke ngumi full package au kichwa full package utapiga lkn lazima utumie balance kuhakikisha ngumi inampata na kumtia adabu na sio kumuumiza lengo langu lilikuwa ni kumtia adabu na si kumuumiza ivo nilitumia balance sana sikurusha ngumi kwa nguvu zangu zote ningeua
 
Wanawake ni wadhaifu na hawana nguvu kivile kama unavyosema , nishapigana na wanawake wawili wote niliwagalagaza. Ila mmoja wapo alining'ata na kunipa kovu.

Ila mmoja nilimpa ngumi moja akazimia . Hapa nilijuta na sitarudia kupigana na ivi viumbe dhaifu.
 
Back
Top Bottom