Sitosahau siku niliyopigana makofi na mwanamke

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wanaume msio na hela mnatabia chafu Sana, Yani 10000 ulitaka kuua, endelea na wahuni wenzako, ningekuwa Mimi unanipiga ningekuitia mwizi
Yaan umewaza kama mm..ningeita mwizi angejuta kunijua, ananipiga kama nani? Wanaume njaa wana tabia mbaya sana.
 
Yaan umewaza kama mm..ningeita mwizi angejuta kunijua, ananipiga kama nani? Wanaume njaa wana tabia mbaya sana.
Usije shangaa unapokea kichapo cha mwizi wewe maana watu wakija gundue sio mwizi ni ugomvi tu wa kimapenz hakiyanani sijui nini kitatokea vitu vengine muwe mnatumia akili mm ukiniitia mwiz sikimbii wala nn nasimama apo apo watu wakija nawaelezea ilivyokuwa
 
kilichoniuma sio hela wadau kilichoniuma ni kunidanganya pia ela yangu kupikiwa mwanaume mwingine
Wewe hujiamini una roho mbaya jifunze kutoa hyo hela ndogo Sana kufanya fujo
 
Vipi uli mkuta na mwanaumee au

Sent using mt4 app
 
Itakuwa una tatizo mahali mzee...!! Yani mara mbili zote unagombana na wanawakee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…